CHAGUZI ZA MITAA KATIKA PICHA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-LiEqQl0jF-U/VI3HdZi5tfI/AAAAAAADKKI/yR_ExUNRva8/s72-c/Picture259.jpg)
Kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Mtendeni Kata ya Kisutu kama kinavyoonekana katika picha wapiga kura hawakuweza kupiga kura kutokana na kwamba na wagombea kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kata hiyo kukosa wapinzani na hivyo kupita bila kipingamizi,.
Mkazi wa karikoo Mashariki , Kata ya Kariakoo akipiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Lumumba ,kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa Mitaa akiwemo Mwenyekiti na Wajumbe leo jijini Dar es...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Watabiri machafuko chaguzi serikali za mitaa
MAKUNDI maalumu katika jamii mkoani hapa, yametabiri machafuko ya kisiasa kutokea nchini katika chaguzi zijazo za serikali za mitaa. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa watu wenye ulemavu wa ngozi mkoani...
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Vijiji, vitongoji vipya kushiriki chaguzi Serikali za mitaa
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Yona Maki, amesema jumla ya vijiji 151 na vitongoji 746 vitashiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu. Akizungunguza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--k4f-Y88o18/XnEclk2_zFI/AAAAAAALkL8/J4eu4uC8c04nGHAXR7m3tJh-ufP-mZmUgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-11AAA.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA
![](https://1.bp.blogspot.com/--k4f-Y88o18/XnEclk2_zFI/AAAAAAALkL8/J4eu4uC8c04nGHAXR7m3tJh-ufP-mZmUgCLcBGAsYHQ/s640/PIC-11AAA.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni George Mkuchika akiwasilisha mbele ya Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa Taarifa ya Mapato na Matumizi ya Mafungu ya ofisi yake kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021, kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Mary Mwanjelwa. Kikao hicho cha Kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge, Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIC-22AA.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Bila kuondoa kasoro chaguzi Serikali za Mitaa, wapinzani ni wasindikizaji tu
5 years ago
Michuzi01 May
PICHA MBALIMBALI ZA KUAGWA KWA MWILI WA MAREHEMU JAJI RAMADAHANI LEO KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8307AA-1024x682.jpg)
Mke wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Marehemu Augustino Ramadhani, Saada Ramadhani (katikati) ambaye ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mumewe leo kwenye viwanja vya Karimjee vilivyoko Jijini Dar es Salaam wakati wa Mazishi ya Kitaifa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8341AA-1024x682.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0ligxF19p9PvF0ky0qoBDTmfbzMmytf*shGmGmzYtevg2CalZwIt8D4E9Kwkn32u*4FeNHExctH30yrn5wTWXSa/UCHAGUZI1.jpg?width=650)
TASWIRA ZA ZOEZI LA UPIGAJI KURA ZA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxb-xReLCWOW1Udzb9D6ysVee7NRiRzhV*3BC5nfkMjClflG8cTtp6BtDwSzZdjjWJd0jNBMNhBq06BgTgIfXYM3/viatu.jpg?width=650)
KAMERA YA GPL KATIKA MITAA YA JIJI LA DAR
11 years ago
GPLKAMERA YA GPL KATIKA MITAA TOFAUTI YA JIJI LA DAR