CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
Na Bashir Nkoromo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaingia katika uchaguzi wa serikali za mitaa kesho, kikiwa kimeshajizolea maelfu ya nafasi ambazo wagombea wake wamepita bila kupingwa. Akihutubia kwenye mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi huo, katika Mtaa wa Mtambani B, Kata ya Jangwani, jimbo la Ilala jijini Dar es Salaam, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye alisema, kulingana na takwimu CCM imepita bila kupingwa katika vijiji 2708, mitaa 644, na vitongoji zaidi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-p35l6gt1wTg/VIsCBs2DETI/AAAAAAAAsAc/09TD7AyRAG0/s1600/akisalimia%2Bwenyeji.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Q6du6HJbrXg/VIsCMCd63OI/AAAAAAAAsA8/JjMf1_V_1bM/s1600/mashabiki%2Bwa%2Bccm.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-kbQPDHu-riY/VIsCKPhtnMI/AAAAAAAAsA0/rA1YktzWhOE/s1600/mashabiki%2Bwa%2Bccm%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iDc9LJBv3d0/VIsCDN96E9I/AAAAAAAAsAk/CN21fp_tq8U/s1600/baada%2Bya%2Bkuwasili.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HNlvstP8i8Q/VIsCHo47LuI/AAAAAAAAsAs/f3HGzwRKlWg/s1600/lwiza%2Bmbutu%2Bna%2BTwanga%2Bwakikamua.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Rais Kikwete alaumiwa CCM kupoteza viti Uchaguzi Serikali za Mitaa
10 years ago
Mwananchi18 Dec
CCM ‘yapoteza’ viti 2,600 Serikali za Mitaa
10 years ago
Habarileo01 Nov
Meya atabiri CCM kuzoa viti vingi serikali za mitaa
MEYA wa Manispaa ya Ilemela, Henry Matata amekitabiria Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu baada ya wananchi kubaini viongozi waliowaweka katika uchaguzi uliopita hawawajibiki ipasavyo.
10 years ago
Habarileo27 Sep
Ukawa wajipanga uchaguzi Serikali za Mitaa
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimehimizana kushirikiana na kuja na nguvu ya pamoja katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dsJAfIUpqeA/VFi7baNo3_I/AAAAAAAAMoA/eXmiHhPZOyQ/s72-c/hati.jpg)
UKAWA WASAINI MAKUBALIANO MAPYA, NI KUACHIANA KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dsJAfIUpqeA/VFi7baNo3_I/AAAAAAAAMoA/eXmiHhPZOyQ/s640/hati.jpg)
10 years ago
StarTV10 Jan
Vurugu kuapishwa Serikali za Mitaa, UKAWA na CCM zalaumiana.
Na Josephine Shem,
Dar Es Salaam.
Siku chache baada ya kuibuka kwa Vurugu kwenye sherehe za kuapishwa Viongozi waliochaguliwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwaka jana Nchini kote, Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Vyama vinavyounda Umoja wa Wananchi UKAWA vimetupiana lawama kuhusiana na Vurugu hizo.
Kwa upande wake CCM ilivilaumu vyama vya Upinzani kuwa ndiyo chanzo cha matatizo hayo kwa kuwa na mazoea ya kuanzisha Vurugu pindi wanaposhindwa katika chaguzi mbalimbali,...
10 years ago
Mwananchi17 Oct
CCM wakuna vichwa Uchaguzi Serikali za Mitaa