Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM wakuna vichwa Uchaguzi Serikali za Mitaa

Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) kilichoanza jana mjini hapa, pamoja na mambo mengine, kimelenga kuweka mkakati wa ushindi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwezi ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

CCM yaweka mikakati ya Uchaguzi Serikali Mitaa

KATIKA kuhakikisha kinafanya vyema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimepanga kuzitumia siku za Jumamosi kwa mikutano ya kisiasa katika kata zote za manispaa hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

CCM itashinda uchaguzi serikali za mitaa - Wassira

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira amezungumzia mbio za urais ndani ya CCM na kusema kishindo cha vikumbo vya wagombea ni ishara tosha kwamba kinakubalika.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya CCM

074

2014 20.10.2014 RATIBA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA.doc by moblog

 

10 years ago

Mwananchi

CCM itatua mzigo wa makosa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Machi mwaka huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kuanza rasmi mchakato wake wa kura ya maoni ya kuwapata wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani watakaopeperusha bendera ya chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA YAGARAGAZWA NA CCM KESI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Mahakama ya Wilaya ya Iringa imetoa hukumu ya kutengua matokeo ya mitaa 13 kutoka Manispaa ya Iringa ili kufanya uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza katika uchaguzi uliofanyika Desemba 14 mwaka 2014.
Hukumu hiyo ilitolewa jana mbele ya mahakamu wakazi wanne ambao ni Andrew Scout, John Mpitanjia, E. Nassoro na Isaya, waliokuwa wanaendesha kesi hizo katika Mahakama ya Wazi ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa.
Chama cha Mapindizi (CCM) kulifungua kesi...

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, DIWANI CCM ANUSURIKA KIPIGO

Na Makongoro Oging’ DIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Kigogo, Kinondoni jijini Dar es Salaam, Richard Chengula wiki iliyopita alipata wakati mgumu, baada ya kunusurika kupigwa na wananchi wake, kwa kile kilichodaiwa kuzuia shughuli za maendeleo. Diwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Kigogo, Kinondoni jijini Dar es…

 

10 years ago

StarTV

Uchaguzi Serikali za Mitaa, CCM Mwanza chalalamikia usimamizi mbovu.

Na Maliganya Charahani, Mwanza.ALIGANYA

 

 

Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimelalamikia utaratibu mbovu wa wasimamizi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa kuchangia baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura na wengine kukosa majina yao katika daftari la kumbukumbu.

Dosari kubwa zinatajwa na CCM kujitokeza katika wilaya za Sengerema na Kwimba kubwa likielezwa ni kuchelewa kufika kwa vifaa vya kupigia kura.

Mbali na lawama hizo za CCM, nacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete alaumiwa CCM kupoteza viti Uchaguzi Serikali za Mitaa

Rais Jakaya Kikwete, ametupiwa lawama na makada wa CCM kwa kusababisha kushindwa CCM viti vingi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, kutokana kuchelewa kutoa maamuzi juu ya sakata la wizi wa Tsh 306 bilioni katika akaunti ya  Tegeta Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani