Uchaguzi Serikali za Mitaa, CCM Mwanza chalalamikia usimamizi mbovu.
Na Maliganya Charahani, Mwanza.ALIGANYA
Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimelalamikia utaratibu mbovu wa wasimamizi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa kuchangia baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura na wengine kukosa majina yao katika daftari la kumbukumbu.
Dosari kubwa zinatajwa na CCM kujitokeza katika wilaya za Sengerema na Kwimba kubwa likielezwa ni kuchelewa kufika kwa vifaa vya kupigia kura.
Mbali na lawama hizo za CCM, nacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTASWIRA ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA JIJINI MWANZA ULIVYOKUWA JANA
10 years ago
Vijimambo12 Dec
JIONI YA LEO MWANZA,MWIGULU AFUNIKA MKUTANO KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10461429_321054031430165_1257200098938413066_n.jpg?oh=1bfe882e556e23dd8c41d45d42304f6c&oe=554650CD&__gda__=1427204625_203f3c2d63e0e6c31aae39576716327e)
leo tar 12.12.2014 Viwanja vya shule ya Msingi Mabatini.
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10382169_321053528096882_9023993479375782475_n.jpg?oh=a6d4d640d0718ca04f7541bdcdee3456&oe=550B928F&__gda__=1425854982_ad01863d2c21807c1a57e0af69bd0a8f)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10858520_321053611430207_4980674157478630945_n.jpg?oh=e5085bd85440a1759f841b86a44b046a&oe=55427DB3&__gda__=1430587403_953ccaa820f0219a17600673f5f379fb)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/1507562_321053324763569_7051942344833148087_n.jpg?oh=2a46a47e59ae96225e2133c09e83f65d&oe=55055DB4)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/1535008_321053358096899_7413097274992200878_n.jpg?oh=46a0e640d2e8cb424b7a9d69dd3ec743&oe=550A6DA1&__gda__=1430389088_dc560369cabc4c8acbf82c1c806ec54c)
10 years ago
Habarileo20 Nov
CCM itashinda uchaguzi serikali za mitaa - Wassira
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira amezungumzia mbio za urais ndani ya CCM na kusema kishindo cha vikumbo vya wagombea ni ishara tosha kwamba kinakubalika.
10 years ago
Habarileo15 Sep
CCM yaweka mikakati ya Uchaguzi Serikali Mitaa
KATIKA kuhakikisha kinafanya vyema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimepanga kuzitumia siku za Jumamosi kwa mikutano ya kisiasa katika kata zote za manispaa hiyo.
10 years ago
Mwananchi17 Oct
CCM wakuna vichwa Uchaguzi Serikali za Mitaa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-kalmG*gYTl3nUd9S1OB-*C6HldDgOKNfb51UYRl3MpetZLd3o7pKgDkrBFXJ2JbY--83nWVES7xKEqOH0bMj8q/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, DIWANI CCM ANUSURIKA KIPIGO
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Ratiba ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya CCM
2014 20.10.2014 RATIBA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA.doc by moblog
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7uVif_4ZmpY/VZQ6wxO96yI/AAAAAAAAFMU/1o0hF3cGUM0/s72-c/MAHAKAMANI.jpg)
CHADEMA YAGARAGAZWA NA CCM KESI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7uVif_4ZmpY/VZQ6wxO96yI/AAAAAAAAFMU/1o0hF3cGUM0/s1600/MAHAKAMANI.jpg)
Hukumu hiyo ilitolewa jana mbele ya mahakamu wakazi wanne ambao ni Andrew Scout, John Mpitanjia, E. Nassoro na Isaya, waliokuwa wanaendesha kesi hizo katika Mahakama ya Wazi ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa.
Chama cha Mapindizi (CCM) kulifungua kesi...
10 years ago
Mwananchi18 Feb
CCM itatua mzigo wa makosa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?