Ratiba ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya CCM
2014 20.10.2014 RATIBA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA.doc by moblog
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Oct
RATIBA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI
RATIBA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NDANI YA CHAMA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dcIeNT1S_54/U7GW0uZnAdI/AAAAAAAFtrI/87HsITmv63M/s72-c/Mizengo-Pinda_0.jpg)
WAZIRI MKUU: MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA YANAENDELEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dcIeNT1S_54/U7GW0uZnAdI/AAAAAAAFtrI/87HsITmv63M/s1600/Mizengo-Pinda_0.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Juni 30, 2014) wakati akizungumza na Mameya wa Majiji, Manispaa na Wenyeviti wa Halmashauri za Miji na Wilaya Tanzania katika kikao cha siku moja kilichofanyika kwenye ukumbi wa Regal Naivera jijini Tanga.
Waziri Mkuu yuko Tanga kwa...
10 years ago
Habarileo20 Nov
CCM itashinda uchaguzi serikali za mitaa - Wassira
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira amezungumzia mbio za urais ndani ya CCM na kusema kishindo cha vikumbo vya wagombea ni ishara tosha kwamba kinakubalika.
10 years ago
Mwananchi17 Oct
CCM wakuna vichwa Uchaguzi Serikali za Mitaa
10 years ago
Habarileo15 Sep
CCM yaweka mikakati ya Uchaguzi Serikali Mitaa
KATIKA kuhakikisha kinafanya vyema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimepanga kuzitumia siku za Jumamosi kwa mikutano ya kisiasa katika kata zote za manispaa hiyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7uVif_4ZmpY/VZQ6wxO96yI/AAAAAAAAFMU/1o0hF3cGUM0/s72-c/MAHAKAMANI.jpg)
CHADEMA YAGARAGAZWA NA CCM KESI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7uVif_4ZmpY/VZQ6wxO96yI/AAAAAAAAFMU/1o0hF3cGUM0/s1600/MAHAKAMANI.jpg)
Hukumu hiyo ilitolewa jana mbele ya mahakamu wakazi wanne ambao ni Andrew Scout, John Mpitanjia, E. Nassoro na Isaya, waliokuwa wanaendesha kesi hizo katika Mahakama ya Wazi ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa.
Chama cha Mapindizi (CCM) kulifungua kesi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-kalmG*gYTl3nUd9S1OB-*C6HldDgOKNfb51UYRl3MpetZLd3o7pKgDkrBFXJ2JbY--83nWVES7xKEqOH0bMj8q/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, DIWANI CCM ANUSURIKA KIPIGO
10 years ago
Mwananchi18 Feb
CCM itatua mzigo wa makosa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?
10 years ago
StarTV17 Dec
Uchaguzi Serikali za Mitaa, CCM Mwanza chalalamikia usimamizi mbovu.
Na Maliganya Charahani, Mwanza.ALIGANYA
Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimelalamikia utaratibu mbovu wa wasimamizi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa kuchangia baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura na wengine kukosa majina yao katika daftari la kumbukumbu.
Dosari kubwa zinatajwa na CCM kujitokeza katika wilaya za Sengerema na Kwimba kubwa likielezwa ni kuchelewa kufika kwa vifaa vya kupigia kura.
Mbali na lawama hizo za CCM, nacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo...