Tuvunje Bunge la Katiba tufanye maandalizi mazuri ya chaguzi zijazo
MAMBO yanayotokea sasa hivi kisiasa kusema kweli si alama nzuri ya ustawi wa jamii yetu. Watanzania walikuwa na bahati ya kuandika katiba yao wenyewe lakini bahati mbaya mchakato huo umetekwa na kuvurugwa na wanasiasa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Jul
SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Tuwakatae viongozi wabinafsi chaguzi zijazo
KWA kuwa nchi inaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni vema kila mmoja wetu akijiaandaa kwa ajili ya uchaguzi huo. Uchaguzi huo una umuhimu wake hususan kwa watu wenye...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Watishia kususia chaguzi zote zijazo
BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, mkoani Pwani, wamesema hawatashiriki kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni endapo jirani zao wa Mtaa wa Vingunguti...
10 years ago
GPLRUSHWA IMESHAMIRI, CHAGUZI ZIJAZO TUTASHUHUDIA MENGI
10 years ago
StarTV15 Feb
TEMCO yateua waangalizi 180 wa muda katika chaguzi zijazo.
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Kamati ya Uangalizi wa Chaguzi Tanzania TEMCO imeanza kuangalia na kupitia mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015 kwa kuteua timu ya waangalizi 180 wa muda wa uchaguzi huo watakaoangalia zoezi la uandikishaji wa wapiga kura linalotarajia kuanza tarehe 23 mwezi huu.
Kamati hiyo inayoongozwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania REDET pia itaangalia mchakato wa upigaji kura ya maoni kuhusu Katiba inayopendekezwa ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Vijimambo06 Nov
VYAMA SITA VISIVYOKUWA NA WABUNGE VYAAMUA KUSHIRIKIANA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/113.jpg)
“Dovutwa amesema vyama hivyo vimeamua kushirikiana kwa sababu vipo vyama vilivyounda kundi lisilokuwa la kisheria linaitwa Ukawa, lakini hakuna sheria inayoturuhusu...
11 years ago
Michuzi10 Feb
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Wagombea Zanzibar washukuru maandalizi mazuri tume ya uchaguzi NEC na ZEC
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akifanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kipiga kura leo katika kituo cha Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Na Mwandishi wetu, Pemba
MAMIA ya wananchi wa visiwa vya Zanzibar wamejitokeza kwa wingi katika zoezi la upigaji wa kura kwa nafasi tano za Urais wa jamhuri wa muungano, Urais wa Zanzibar, Ubunge,...