TEMCO yateua waangalizi 180 wa muda katika chaguzi zijazo.
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Kamati ya Uangalizi wa Chaguzi Tanzania TEMCO imeanza kuangalia na kupitia mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015 kwa kuteua timu ya waangalizi 180 wa muda wa uchaguzi huo watakaoangalia zoezi la uandikishaji wa wapiga kura linalotarajia kuanza tarehe 23 mwezi huu.
Kamati hiyo inayoongozwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania REDET pia itaangalia mchakato wa upigaji kura ya maoni kuhusu Katiba inayopendekezwa ikiwa ni pamoja na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Nov
VYAMA SITA VISIVYOKUWA NA WABUNGE VYAAMUA KUSHIRIKIANA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/113.jpg)
“Dovutwa amesema vyama hivyo vimeamua kushirikiana kwa sababu vipo vyama vilivyounda kundi lisilokuwa la kisheria linaitwa Ukawa, lakini hakuna sheria inayoturuhusu...
11 years ago
Michuzi24 Jul
SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Tuwakatae viongozi wabinafsi chaguzi zijazo
KWA kuwa nchi inaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni vema kila mmoja wetu akijiaandaa kwa ajili ya uchaguzi huo. Uchaguzi huo una umuhimu wake hususan kwa watu wenye...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Watishia kususia chaguzi zote zijazo
BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, mkoani Pwani, wamesema hawatashiriki kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni endapo jirani zao wa Mtaa wa Vingunguti...
10 years ago
GPLRUSHWA IMESHAMIRI, CHAGUZI ZIJAZO TUTASHUHUDIA MENGI
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Tuvunje Bunge la Katiba tufanye maandalizi mazuri ya chaguzi zijazo
MAMBO yanayotokea sasa hivi kisiasa kusema kweli si alama nzuri ya ustawi wa jamii yetu. Watanzania walikuwa na bahati ya kuandika katiba yao wenyewe lakini bahati mbaya mchakato huo umetekwa na kuvurugwa na wanasiasa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RJ0Grr-rL7s/Vmb1OaTl-LI/AAAAAAAILCg/amGtPDEzPwI/s72-c/EU_flag1-436x347.jpg)
Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa EU watoa wito kwa ukamilishwaji haraka wa mchakato wa uchaguzi Zanzibar kulingana na kanuni za chaguzi shirikishi, za uwazi, zinazotekelezwa kwa wakati na za kuaminika
![](http://3.bp.blogspot.com/-RJ0Grr-rL7s/Vmb1OaTl-LI/AAAAAAAILCg/amGtPDEzPwI/s400/EU_flag1-436x347.jpg)
Kufuatia Siku ya Uchaguzi tarehe 25 Oktoba, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya umebaki nchini kufuatilia chaguzi zilizoahirishwa Tanzania Bara na mchakato uliyositishwa Visiwani Zanzibar, baada ya tamko la Mwenyekiti wa Tume ya...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Tufunguke tusiburuzwe na vyama katika chaguzi
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Athari za Nyerere katika chaguzi za Tanzania