Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tufunguke tusiburuzwe na vyama katika chaguzi

Tumeufikia mwaka wa uchaguzi. Ni mwaka wa furaha kwa wengine kwani wameishi kwa matumaini ya kupata nafasi za uongozi kwa kipindi wanachojua wao na hivyo mwaka huu ni mwaka wao wa kujaribu bahati yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

VYAMA SITA VISIVYOKUWA NA WABUNGE VYAAMUA KUSHIRIKIANA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO

1 Mwenyekiti wa Chama cha UPDP na aliyekuwa mbunge wa bunge maalum la katiba Mh. Fahmi Dovutwa akitoa taarifa ya ushirikiano wa Vyama sita vya siasa visivyokuwa na wambunge katika uchaguzi wa Serkali za Mitaa, Wabunge na Rais unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu mpaka mwaka 2015 ambapo uchaguzi wa Wabunge na Rais utafanyika.
“Dovutwa amesema vyama hivyo vimeamua kushirikiana kwa sababu vipo vyama vilivyounda kundi lisilokuwa la kisheria linaitwa Ukawa, lakini  hakuna sheria inayoturuhusu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chaguzi zilitikisa vyama, mashirikisho 2013

IKIWA ni takribani siku moja imesalia kuuaga mwaka 2013 na kuukaribisha 2014, wadau wa Uwanja wa Kuchonga tunakutana tena uwanjani, huku kubwa likiwa ni kupitia tathmini ya jumla katika sekta...

 

10 years ago

Mwananchi

Katika chaguzi utashi wa wananchi uheshimiwe

Juzi tulishuhudia tukio lisilo la kawaida hapa nchini, ambalo bila shaka limeacha mjadala mkubwa utakaoendelea kwa muda mrefu ujao. Jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Athari za Nyerere katika chaguzi za Tanzania

Huwezi kusikiliza lolote kuhusu kampeni za uchaguzi Tanzania bila kulisikia jina la Mwalimu Julius Nyerere likitajwa kwa kunukuliwa alichokisema. Kila upande, uwe ni upinzani au Chama Cha Mapinduzi (CCM) mgombea akitaka kutia uzito maneno yake, atamnukuu Mwalimu Nyerere.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAGUZI ZA MITAA KATIKA PICHA JIJINI DAR

Kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Mtendeni Kata ya Kisutu kama kinavyoonekana katika picha wapiga kura hawakuweza kupiga kura kutokana na kwamba na wagombea kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kata hiyo kukosa wapinzani na hivyo kupita bila kipingamizi,.Mkazi wa karikoo Mashariki , Kata ya Kariakoo akipiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Lumumba ,kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa Mitaa akiwemo Mwenyekiti na Wajumbe leo jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Kitafutwe kiini cha vurugu katika chaguzi

Uchaguzi wa madiwani katika kata 27 za Tanzania Bara ulimalizika juzi, huku zikiwapo taarifa za kutokea vurugu katika baadhi ya kata zilizopo katika wilaya za Arusha, Njombe, Kahama, Bunda, Mbeya, Mtwara na kadhalika.

 

9 years ago

Mwananchi

Rais wa Namibia ataka uwazi katika chaguzi za Afrika

Rais wa Namibia Dkt Hage Geingob amesema nchi za Afrika zinapaswa kuweka mazingira ya uwazi katika chaguzi zake ili kuondoa manung’uniko baina ya wanasiasa na vyama vitakavyoshindwa.

 

10 years ago

StarTV

TEMCO yateua waangalizi 180 wa muda katika chaguzi zijazo.

Na Grace Semfuko,

Dar es Salaam.

 

Kamati ya Uangalizi wa Chaguzi Tanzania TEMCO imeanza kuangalia na kupitia mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015 kwa kuteua timu ya waangalizi 180 wa muda wa uchaguzi huo watakaoangalia zoezi la uandikishaji wa wapiga kura linalotarajia kuanza tarehe 23 mwezi huu.

 

Kamati hiyo inayoongozwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania REDET pia itaangalia mchakato wa upigaji kura ya maoni kuhusu Katiba inayopendekezwa ikiwa ni pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani