Tuwakatae viongozi wabinafsi chaguzi zijazo
KWA kuwa nchi inaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni vema kila mmoja wetu akijiaandaa kwa ajili ya uchaguzi huo. Uchaguzi huo una umuhimu wake hususan kwa watu wenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Watishia kususia chaguzi zote zijazo
BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, mkoani Pwani, wamesema hawatashiriki kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni endapo jirani zao wa Mtaa wa Vingunguti...
11 years ago
GPLRUSHWA IMESHAMIRI, CHAGUZI ZIJAZO TUTASHUHUDIA MENGI
11 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Tuvunje Bunge la Katiba tufanye maandalizi mazuri ya chaguzi zijazo
MAMBO yanayotokea sasa hivi kisiasa kusema kweli si alama nzuri ya ustawi wa jamii yetu. Watanzania walikuwa na bahati ya kuandika katiba yao wenyewe lakini bahati mbaya mchakato huo umetekwa na kuvurugwa na wanasiasa...
10 years ago
StarTV15 Feb
TEMCO yateua waangalizi 180 wa muda katika chaguzi zijazo.
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Kamati ya Uangalizi wa Chaguzi Tanzania TEMCO imeanza kuangalia na kupitia mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015 kwa kuteua timu ya waangalizi 180 wa muda wa uchaguzi huo watakaoangalia zoezi la uandikishaji wa wapiga kura linalotarajia kuanza tarehe 23 mwezi huu.
Kamati hiyo inayoongozwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania REDET pia itaangalia mchakato wa upigaji kura ya maoni kuhusu Katiba inayopendekezwa ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Vijimambo06 Nov
VYAMA SITA VISIVYOKUWA NA WABUNGE VYAAMUA KUSHIRIKIANA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO

“Dovutwa amesema vyama hivyo vimeamua kushirikiana kwa sababu vipo vyama vilivyounda kundi lisilokuwa la kisheria linaitwa Ukawa, lakini hakuna sheria inayoturuhusu...
11 years ago
Michuzi24 Jul
SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
‘Wabunge wabinafsi wabanwe’
WANANCHI wamelitaka Bunge kuunda sheria zitakazowafanya wabunge kuwajibika ipasavyo katika shughuli za Bunge na umma kwa ujumla kwa kuweka pembeni maslahi binafsi. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kuhusu tuhuma za...
10 years ago
GPL
WAGOMBEA WANAOTUKAANGA KWA UMASKINI, TUWAKATAE
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Tuwakatae wanasiasa wenye roho ‘mtakavitu’
TANZANIA inaelekea pabaya na huenda ikawa mfano mbaya usiostahili kuigwa popote duniani katika suala la ushindani wa kisiasa. Maana halisi ya siasa imekosa utambuzi na badala yake imegeuzwa kuwa nyenzo ya chuki, fitina, uadui na kwa upande mwingine kitega uchumi (biashara) cha watu binafsi.
Maandalizi ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu, yamedhihirisha wazi kuwa dhana ya demokrasia inaendelea kudhoofika badala ya kustawi katika vyama vya siasa nchini.
Wanasiasa...