Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuwakatae viongozi wabinafsi chaguzi zijazo

KWA kuwa nchi inaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni vema kila mmoja wetu akijiaandaa kwa ajili ya uchaguzi huo. Uchaguzi huo una umuhimu wake hususan kwa watu wenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watishia kususia chaguzi zote zijazo

BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, mkoani Pwani, wamesema hawatashiriki kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni endapo jirani zao wa Mtaa wa Vingunguti...

 

11 years ago

GPL

RUSHWA IMESHAMIRI, CHAGUZI ZIJAZO TUTASHUHUDIA MENGI

Jaji Joseph Warioba. Rushwa ni miongoni mwa vichocheo vikubwa vya umaskini hapa nchini Tanzania.
Siyo kichocheo cha umaskini tu, bali pia ni kikwazo kikubwa cha maendeleo katika nchi ambazo shida hii imeshamiri na kuota mizizi. Rushwa iliyokithiri katika nchi yoyote, huathiri utawala bora na kushindwa hata kwa nguvu za soko kiuchumi katika nchi husika.Rushwa iliyokithiri siyo tatizo linaloikumba Tanzania peke yake, bali dunia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuvunje Bunge la Katiba tufanye maandalizi mazuri ya chaguzi zijazo

MAMBO yanayotokea sasa hivi kisiasa kusema kweli si alama nzuri ya ustawi wa jamii yetu. Watanzania walikuwa na bahati ya kuandika katiba yao wenyewe lakini bahati mbaya mchakato huo umetekwa na kuvurugwa na wanasiasa...

 

10 years ago

StarTV

TEMCO yateua waangalizi 180 wa muda katika chaguzi zijazo.

Na Grace Semfuko,

Dar es Salaam.

 

Kamati ya Uangalizi wa Chaguzi Tanzania TEMCO imeanza kuangalia na kupitia mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015 kwa kuteua timu ya waangalizi 180 wa muda wa uchaguzi huo watakaoangalia zoezi la uandikishaji wa wapiga kura linalotarajia kuanza tarehe 23 mwezi huu.

 

Kamati hiyo inayoongozwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania REDET pia itaangalia mchakato wa upigaji kura ya maoni kuhusu Katiba inayopendekezwa ikiwa ni pamoja na...

 

10 years ago

Vijimambo

VYAMA SITA VISIVYOKUWA NA WABUNGE VYAAMUA KUSHIRIKIANA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO

1 Mwenyekiti wa Chama cha UPDP na aliyekuwa mbunge wa bunge maalum la katiba Mh. Fahmi Dovutwa akitoa taarifa ya ushirikiano wa Vyama sita vya siasa visivyokuwa na wambunge katika uchaguzi wa Serkali za Mitaa, Wabunge na Rais unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu mpaka mwaka 2015 ambapo uchaguzi wa Wabunge na Rais utafanyika.
“Dovutwa amesema vyama hivyo vimeamua kushirikiana kwa sababu vipo vyama vilivyounda kundi lisilokuwa la kisheria linaitwa Ukawa, lakini  hakuna sheria inayoturuhusu...

 

11 years ago

Michuzi

SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA

Video imepigwa na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wabunge wabinafsi wabanwe’

WANANCHI wamelitaka Bunge kuunda sheria zitakazowafanya wabunge kuwajibika ipasavyo katika shughuli za Bunge na umma kwa ujumla kwa kuweka pembeni  maslahi binafsi. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kuhusu tuhuma za...

 

10 years ago

GPL

WAGOMBEA WANAOTUKAANGA KWA UMASKINI, TUWAKATAE

Makamu wa rais wa Tanzania Mheshimiwa Ghalib Bilali. UMASKINI siyo chungwa kwamba ukilishika kila mtu atajua kwamba hili ni tunda fulani; hapana, ni zaidi ya hapo. Kila mgombea aliyetangaza nia na kuchukua fomu za kuwania urais mwaka huu hakuna ambaye hakuzungumzia tatizo hili, wote wamesema watauondoa. Hoja yangu kwa wagombea wetu wa nafasi hii nyeti katika taifa letu ni je, wanasiasa hawa wanaujua umaskini wetu au wanatutia...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Tuwakatae wanasiasa wenye roho ‘mtakavitu’

TANZANIA inaelekea pabaya na huenda ikawa mfano mbaya usiostahili kuigwa popote duniani katika suala la ushindani wa kisiasa. Maana halisi ya siasa imekosa utambuzi na badala yake imegeuzwa kuwa nyenzo ya chuki, fitina, uadui na kwa upande mwingine kitega uchumi (biashara) cha watu binafsi.

Maandalizi ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu, yamedhihirisha wazi kuwa dhana ya demokrasia inaendelea kudhoofika badala ya kustawi katika vyama vya siasa nchini.

Wanasiasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani