Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.

 KUAGA MWILI KUANZIA SAA NNE 4 ASUBUHI JUMAPILIADDRESS: 1271 BURKE AVEBRONX. NY 10469
BAADA YA HAPO MZISHI YATAFANYIKA  ADDRESS HII:2600 HECK AVE NEPTUNE. NJ 07753

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA BRONX NEW YORK NA TANZANIA NDUGU WATANZANIA TUNAOMBA MICHANGO YENU HILI TUWEZE KUMPUMZISHA BABA YETU MPENDWA

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.

Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi. Marehemu ameacha Mke na watoto 7. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

10 years ago

Michuzi

MSIBA BRONX NEW YORK NA TANZANIA

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.

Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi. Marehemu ameacha Mke na watoto 7. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA BRONX NEW YORK NA NYUMBANI TANZANIA

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.

Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi. Marehemu ameacha Mke na watoto 7. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA

FLAVIAN IS FLAVIAN TEMBA:   1950 -2015

Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu  Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
 Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa  June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND KUWARUSHA WAKAZI WA EAST COAST MAREKANI..NEW YORK..NEW JERSEY..BOSTON...DE..NC..OH..DC..JUMAMOSI HII MAY 31 PALE ELIZABETH CITY NJ



 BAADA YA KUACHA HISTORIA DALLAS NA HOUSTON SASA NI ZAMU YA EAST COAST                                                                  FOR INFO  PLZ  CALL    DMK-301-661-6207 ..INNO-713-373-6525 ..PETER-240-605-1870...JAHAZI -201-673-4282

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKRANI KUTOKA KWA DR TEMBA KWENDA KWA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY PAMOJA NA NDUGU NA MARAFIKI


Mwalimu Flavian Temba 6-09-2015 
To All: We wish to acknowledge the many expressions from friends and love one during this time bereavement. Words cannot express the strength you and the Diaspora and Bongo community have given us during this difficult time. 
May Mwalimu Flavian Temba's bright spirit live on in us all. Sincerely 
Temba Anicetus family



His wife, Salome Flavian Temba, family and friends giving blessing on his eternal journey in peace 

Godson Philip Kilewo, families, and...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA

Familia ya Lwangisa inasikitika kutangaza kifo cha mpendwa baba yao mzazi kilichotokea leo New York nchini Marekani taarifa zaidi kuhusiana na msiba mzee Lwangisa zitafuata 
Kama ilivyokawaida kupeana pole ni kawaida yetu anuani ya msiba utakapokua tutaweka hapa baadaeKwa habari zaidi unaweza piga simu 
Peter Lwangisa (917) 681-6971Mao Lwangisa (917) 709-6889
bwana ametoa,Bwana ametoa na jina lake lihimidie

 

10 years ago

Vijimambo

PANDE ZA BRONX NEW YORK KWENYE BIRTHDAY YA CHIEF JAMES


Birthday boy Chief James akitoa shukrani zake kwa marafiki waliojitokeza kwenye birthday yake aliyofanyia  siku ya jumamosi nyumbani  kwake Bronx New York. 

Gaston akiongea kwa niaba ya birthday boy pembeni akisikiliza kwa taswira zaidi jitiririshe chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani