DIAMOND KUWARUSHA WAKAZI WA EAST COAST MAREKANI..NEW YORK..NEW JERSEY..BOSTON...DE..NC..OH..DC..JUMAMOSI HII MAY 31 PALE ELIZABETH CITY NJ
BAADA YA KUACHA HISTORIA DALLAS NA HOUSTON SASA NI ZAMU YA EAST COAST
FOR INFO PLZ CALL
DMK-301-661-6207 ..INNO-713-373-6525 ..PETER-240-605-1870...JAHAZI -201-673-4282
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XxljNrmdEYL3MqhRzTeQFS8fw2EI0XXvoI8bO6gQctayERHnZew9WxiXdcdTGbm6hXPQSejYZW8bYAaXm6lrGzoENmxHrA*0/DIAMONDNEWJERSEY.png?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s72-c/unnamed.jpg)
MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s320/unnamed.jpg)
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Ali Kiba & Abdu Kiba kuwarusha Live Washington DC Jumamosi hii tarehe 6
![](http://2.bp.blogspot.com/-wOB1bfQRNDs/VW059j1PcII/AAAAAAAATG4/6vu20bb0OCc/s640/Alikiba%2Bdc1.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wOB1bfQRNDs/VW059j1PcII/AAAAAAAATG4/6vu20bb0OCc/s72-c/Alikiba%2Bdc1.png)
ALI KIBA & ABDU KIBA KUWARUSHA LIVE WASHINGTON DC JUMAMOSI HII MEI 6
![](http://2.bp.blogspot.com/-wOB1bfQRNDs/VW059j1PcII/AAAAAAAATG4/6vu20bb0OCc/s640/Alikiba%2Bdc1.png)
KWA MARA YA KWANZA SHOW YA AINA YAKE KATI YA WANA NDUGU WAWILI ALI NA ABDU KIBA ITAFANYIKA WASHINGTON DMV,JUMAMOSI HII PALE FIRE STATION 1, 8131,GEORGIA AVENUE,DOWN TOWN SILVER SPRING,VIP PACKAGE ZINAPATIKANA,FREE PARKING
11 years ago
Bongo522 Jul
Tuzo za AFRIMMA kufanyika Jumamosi hii (July 26) Marekani, T-Pain, Davido, Diamond, Iyanya kutumbuiza
Tuzo za ‘African Muzik Magazine Awards’ (AFRIMMA) zinatarajiwa kufanyika Jumamosi ya wiki hii (July 26) huko Texas, Marekani. Wasanii walioko kwenye orodha ya kutumbuiza ni pamoja na Davido, Iyanya, Diamond Platnumz, Khulichana, Flavour, 2Face, T-Pain na wengine. Nominees wa Tanzania katika tuzo hizo ni pamoja na Diamond Platnumz ambaye anawania vipengele 5, Ben Pol,Lady Jaydee, […]
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-wOB1bfQRNDs/VW059j1PcII/AAAAAAAATG4/6vu20bb0OCc/s640/Alikiba%2Bdc1.png)
ALI KIBA & ABDU KIBA KUWARUSHA LIVE WASHINGTON DC JUMAMOSI HII TAREHE 6
KWA MARA YA KWANZA SHOW YA AINA YAKE KATI YA WANA NDUGU WAWILI ALI NA ABDU KIBA ITAFANYIKA WASHINGTON DMV,JUMAMOSI HII PALE FIRE STATION 1, 8131,GEORGIA AVENUE,DOWN TOWN SILVER SPRING,VIP PACKAGE ZINAPATIKANA,FREE PARKING
11 years ago
GPLDIAMOND AGONGA SHOO YA NGUVU, AWEKA HISTORIA NEW JERSEY NCHINI MAREKANI
Mwanamuziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz anayekimbiza vibaya mno kwenye anga za Bongo Flava akipagawisha mashabiki wake New Jersey nchini Marekani. Diamond na madancer wake wakijaribu kukata kiu ya mashabiki wake wa pwani ya mashariki.…
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IrK3V0P8ofc/VSzCQgI2IYI/AAAAAAAAr3w/ePk4PZ5Yf8I/s72-c/zari%2B(2).jpg)
SHOW YA DIAMOND NA ZARI MAY MOSI PALE MLIMANI CITY KIINGILIO VIP MILLION 3
![](http://3.bp.blogspot.com/-IrK3V0P8ofc/VSzCQgI2IYI/AAAAAAAAr3w/ePk4PZ5Yf8I/s640/zari%2B(2).jpg)
Ile show inayosubiriwa kwa na kuongelewa kila kona ya jiji la Dar es Salaam ya Diamond na Zari pale Mlimani city siku ya May mosi kiingilio cha juu ni shiling million 3 za kitanzania na cha chini ni Elfu 50.
Msanii huyo Millionea anayetoa bima ya afya kwa wakazi mia mbili wa Tandale kutibiwa bure ametaja leo viingilio hivyo.
And here are the Official Entrance fee for Zari All white Party 1st of May 2015, Mlimani City...50,000/= 100,000/= VIP
1,000,000/= VIP Table plus 4 tickets & Drinks...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7c5FvdssaKY/VIlfbhUpNNI/AAAAAAAG2eA/I-44VeEnvZk/s72-c/Grooveback%2Bflyer%2B(2).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania