Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOW YA DIAMOND NA ZARI MAY MOSI PALE MLIMANI CITY KIINGILIO VIP MILLION 3


Ile show inayosubiriwa kwa na kuongelewa kila kona ya jiji la Dar es Salaam ya Diamond na Zari pale Mlimani city siku ya May mosi kiingilio cha juu ni shiling million 3 za kitanzania na cha chini ni Elfu 50.
Msanii huyo Millionea anayetoa bima ya afya kwa wakazi mia mbili wa Tandale kutibiwa bure ametaja leo viingilio hivyo.
And here are the Official Entrance fee for Zari All white Party 1st of May 2015, Mlimani City...50,000/= 100,000/= VIP
1,000,000/= VIP Table plus 4 tickets & Drinks...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Diamond Platnumz kuzindua Tv yake kwenye Zari White Party,Mlimani City,Ijumaa hii

Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz anatarajia kuzindua tv yake kwenye Zari White Party itakayofanyika Ijumaa hii pande za Mlimani City,Mwenge,jijini Dar.

Pamoja na vitu vingi vitakavyokuwepo siku hiyo mashabiki watashuhudia uzinduzi wa tv hiyo kwa mara ya kwanza ambapo Diamond atataja rasmi jina la tv hiyo. ZARI ALL WHITE PARTY ,performance kutoka kwa @diamondplatnumz akisindikizwa na @shettatz pamoja na @akaworldwide kwa mtonyo wa Tsh 50,000/= na VIP ni Tsh 100,000/= Utakosa...

 

10 years ago

Vijimambo

NG'ARI NG'ARI NDANI YA ZARI & DIAMOND WHITE PART HUKO MLIMANI CITY HABARI NDIYO HII


Muonekano ndani ya Mlimani City kunako Zari & Diamond white party inalindima usiku huu Licha ya mtonyo kuwa wanguvu lakini ticket ni sold out na watu wako nje labla kuna mtu atakuwa amedondosha yake na kuiokota.

Huddah BossyLady wa Kenya ndani ya nyumba full ng'aring'ari kiroho safi

 

10 years ago

Michuzi

CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI YA KUFA MTU KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014 PALE MLIMANI CITY

Na Josephat Lukaza
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPA NA PALE YALIYOJIRI USIKU WA ZARI NA VIVAZI VYEUPE DIAMOND NDANI YA KAMPALA


Baadhi ya picha zilizochukuliwa usiku huu kwenye show ya #Zari_AllWhite_CirocParty hizi hapa…Watu wakiwa wamejipanga tayari kuelekea ndani ya mjengo.Habari ndiyo hii palikuwa hapatoshi kiroho safiWarembo walikuwa full kupendeza picha kwa hisani ya Dj Choka.

Credit @chokadj

 

10 years ago

GPL

USIKU WA ZARI ALL WHITE PARTY ULIVYOFANA NDANI YA MLIMANI CITY JIJINI DAR

Diamond Platnumz akimbusu mpenzi wake Zari katika usiku wa Zari All White Party ndani ya Mlimani City usiku huu. Zari na Diamond katika pozi ndani ya Mlimani City. Zari na Diamond wakati wakiingia ukumbini usiku huu. (PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /…

 

10 years ago

Dewji Blog

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), yaandaa onesho la sites kufanyika ukumbi wa Mlimani City Oktoba Mosi jijini Dar

Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji Bodi ya Utalii Tanzania, Devotha Mdachi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu Onesho la Sites litakalofanyika Oktoba Mosi hadi 3, 2015 Ukumbi wa Mlimani City. Kushoto ni Ofisa Mauzo Mkuu wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Lima Dsilva na  Meneja Huduma wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Dawit Mekonnen.

Meneja Huduma za Utalii wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Philip Sebastian (wa pili kulia), akizungumza katika...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA UTALII TANZANIA (TTB), YAANDAA ONESHO LA SITES KUFANYIKA UKUMBI WA MLIMANI CITY OKTOBA MOSI JIJINI DAR ES SALAAM

Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji Bodi ya Utalii Tanzania, Devotha Mdachi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu Onesho la Sites litakalofanyika Oktoba Mosi hadi 3, 2015 Ukumbi wa Mlimani City. Kushoto ni Ofisa Mauzo Mkuu wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Lima Dsilva na  Meneja Huduma wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Dawit Mekonnen.  Meneja Huduma za Utalii wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Philip Sebastian (wa pili kulia), akizungumza katika mkutano...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATINUMZ AWA GUMZO USIKU HUU MLIMANI CITY

Staa wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond Platinum' akifanya yake usiku huu Mlimani City akiwa na wacheza shoo wake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani