SHOW YA DIAMOND NA ZARI MAY MOSI PALE MLIMANI CITY KIINGILIO VIP MILLION 3
Ile show inayosubiriwa kwa na kuongelewa kila kona ya jiji la Dar es Salaam ya Diamond na Zari pale Mlimani city siku ya May mosi kiingilio cha juu ni shiling million 3 za kitanzania na cha chini ni Elfu 50.
Msanii huyo Millionea anayetoa bima ya afya kwa wakazi mia mbili wa Tandale kutibiwa bure ametaja leo viingilio hivyo.
And here are the Official Entrance fee for Zari All white Party 1st of May 2015, Mlimani City...50,000/= 100,000/= VIP
1,000,000/= VIP Table plus 4 tickets & Drinks...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM28 Apr
Diamond Platnumz kuzindua Tv yake kwenye Zari White Party,Mlimani City,Ijumaa hii
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz anatarajia kuzindua tv yake kwenye Zari White Party itakayofanyika Ijumaa hii pande za Mlimani City,Mwenge,jijini Dar.
Pamoja na vitu vingi vitakavyokuwepo siku hiyo mashabiki watashuhudia uzinduzi wa tv hiyo kwa mara ya kwanza ambapo Diamond atataja rasmi jina la tv hiyo. ZARI ALL WHITE PARTY ,performance kutoka kwa @diamondplatnumz akisindikizwa na @shettatz pamoja na @akaworldwide kwa mtonyo wa Tsh 50,000/= na VIP ni Tsh 100,000/= Utakosa...
10 years ago
Vijimambo02 May
NG'ARI NG'ARI NDANI YA ZARI & DIAMOND WHITE PART HUKO MLIMANI CITY HABARI NDIYO HII
Muonekano ndani ya Mlimani City kunako Zari & Diamond white party inalindima usiku huu Licha ya mtonyo kuwa wanguvu lakini ticket ni sold out na watu wako nje labla kuna mtu atakuwa amedondosha yake na kuiokota.
Huddah BossyLady wa Kenya ndani ya nyumba full ng'aring'ari kiroho safi
10 years ago
MichuziCHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI YA KUFA MTU KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014 PALE MLIMANI CITY
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie...
10 years ago
Vijimambo19 Dec
HAPA NA PALE YALIYOJIRI USIKU WA ZARI NA VIVAZI VYEUPE DIAMOND NDANI YA KAMPALA
Baadhi ya picha zilizochukuliwa usiku huu kwenye show ya #Zari_AllWhite_CirocParty hizi hapa…Watu wakiwa wamejipanga tayari kuelekea ndani ya mjengo.Habari ndiyo hii palikuwa hapatoshi kiroho safiWarembo walikuwa full kupendeza picha kwa hisani ya Dj Choka.
Credit @chokadj
10 years ago
GPLUSIKU WA ZARI ALL WHITE PARTY ULIVYOFANA NDANI YA MLIMANI CITY JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), yaandaa onesho la sites kufanyika ukumbi wa Mlimani City Oktoba Mosi jijini Dar
Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji Bodi ya Utalii Tanzania, Devotha Mdachi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu Onesho la Sites litakalofanyika Oktoba Mosi hadi 3, 2015 Ukumbi wa Mlimani City. Kushoto ni Ofisa Mauzo Mkuu wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Lima Dsilva na Meneja Huduma wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Dawit Mekonnen.
Meneja Huduma za Utalii wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Philip Sebastian (wa pili kulia), akizungumza katika...
10 years ago
VijimamboBODI YA UTALII TANZANIA (TTB), YAANDAA ONESHO LA SITES KUFANYIKA UKUMBI WA MLIMANI CITY OKTOBA MOSI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
GPLDIAMOND PLATINUMZ AWA GUMZO USIKU HUU MLIMANI CITY
10 years ago
GPL27 Oct