Coutinho apewa jukumu zito Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyQYleZM2l34Vygsi3lKxJyqqnZhcjUnW7zYM*w5VpmE9uIgyt0uRe1T-o4ryhkXjvk2TpEdCUe14zX07Jd*BqFQ/CORT.jpg)
Na Wilbert Molandi KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, amempa jukumu jipya zito kiungo mshambuliaji, Andrey Coutinho kwenye kikosi chake.Hiyo ni siku chache tangu ajiunge na kikosi hicho kinachojiandaa na Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika litakalofanyika mwakani. Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Mbrazili huyo, jukumu hilo alilopewa ni kuhakikisha anapiga kona zote za upande wa kulia, yaani...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Dida, Jaja, wabeba jukumu zito Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHV8Cy0PQR3*8ZKiEz73ohQgwRZYp4VWlbxf2FUFTyansqPopx0Kt0RLJVtDB9Ms5njUVAYtKSOHB9KZPttMVnJ/jaja.jpg)
Jaja ampa jukumu zito Okwi Yanga SC
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Tenga akabidhiwa jukumu zito TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemteua Rais aliyepita wa Shirikisho hilo, Leodegar Tenga, kuwa Mwenyekiti wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu Tanzania (TFF Development Trust Fund), ambao umezimiwa...
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Kerr ampa jukumu zito Hanspope Simba
NA SAADA SALIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, ameipa jukumu zito kamati ya usajili ya klabu hiyo iliyo chini ya Mwenyekiti, Zacharia Hanspope, kuhakikisha wanasajili mshambuliaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Simba ina washambuliaji; Khamis Kiiza, Ibrahim Ajibu, Elias Maguli na Mussa Hassan ‘Mgosi’, lakini agizo hilo la kocha limetokana na ubutu ulioonekana katika timu yake.
Katika mchezo wake wa Jumamosi dhidi ya Sports Club Villa Uwanja wa Taifa, Simba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMtFHsQE4uiSj*C7970azkFw2Y2Aq7frcM4iwvYLgglFayXwXazbpgb3b2jt3jvffFoJ7S*upUG84LqITvdtoqUs/JAB.jpg)
APEWA JUKUMU LA KUWA MPISHI JESHINI
10 years ago
Habarileo08 Aug
Coutinho chupuchupu Yanga
MASHABIKI wa Yanga wamemwokoa kiungo Mbrazili Andrey Coutinho asitemwe baada ya kumpigia simu Mwenyekiti wao Yusuf Manji, ambaye aliamuru mchezaji huyo asiachwe.
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Yanga kuwakosa Coutinho, Sherman
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Maximo amleta Coutinho Yanga
9 years ago
Habarileo23 Oct
Salvatory amfagilia Coutinho Yanga
KIUNGO wa zamani wa Yanga, Salvatory Edward amesema winga Mbrazil wa timu hiyo, Andrey Coutinho anastahili kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara.