Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAMZA KALALA: SERIKALI ITUPIE JICHO LA TATU MUZIKI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HAMZA KALALA: SERIKALI ITUPIE JICHO LA TATU MUZIKI

Stori: Elvan Stambuli
GWIJI wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala ‘Komandoo’ au ‘Mzee wa Madongo’, ambaye pia ni Kiongozi wa Bendi ya Bantu Group ya jijini Dar es Salaam, aliyetembelea chumba chetu cha habari Bamaga Mwenge hivi karibuni, amesema serikali inapaswa kutupia jicho la tatu au kuuangalia muziki wa dansi nchini kwa kuwa unatoa ajira kwa vijana. Gwiji wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala...

 

11 years ago

Mwananchi

Mziray: Serikali itupie jicho vyuo vya kati

Ilikuwa ni ndoto kwa wahitimu wa kidato cha nne au sita kuendelea na masomo ya vyuo vya kati kwa miaka ya nyuma tofauti na ilivyo sasa kwa kuwa hali imekuwa chanya.

 

11 years ago

Mwananchi

Simulizi ya Hamza Kalala ‘Komandoo’-1

Kuna wanamuziki ambao wamejipatia umaarufu mkubwa kupitia tasnia ya muziki, kwa kuufanya uvutie ndani na nje ya nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde

HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...

 

11 years ago

GPL

HAMZA KALALA, NAY WA MITEGO WALIPOTEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS

Hamza Kalala ‘Komandoo Kalala' akifafanua jambo kwa Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli wakati wa mahojiano yao yatakayoruka Global TV Online hivi karibuni. Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' akila pozi ndani ya ofisi za Global kabla ya kuhojiwa na Global TV Online.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Arusha itazamwe kwa jicho la tatu

KATIKA historia ya Tanzania, Mkoa wa Arusha umekuwa kati ya maeneo yenye kubeba tunu nyingi za nchi hii, hususan katika sekta ya utalii na madini. Kutokana na fursa hizo, Mkoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vifo vya watoto, wajawazito vitazamwe kwa jicho la tatu

KUTOKANA na matatizo yanayoikabili sekta ya afya ikiwemo huduma zote stahiki kwa mjamzito, watoto walio chini ya miaka mitano na wazee wenye umri zaidi ya miaka 60 ni wakati muafaka...

 

10 years ago

GPL

BONGO MOVIES HILI LA UKIMWI MLITAZAME KWA JICHO LA TATU

KWENU mastaa wa Bongo Movies, bila shaka mko poa na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku. Nawapongeza kwa hilo maana kazi nzuri tunaziona kila kukicha.Mkitaka kujua hali yangu mimi ni mzima wa afya, kama kawaida naendeleza harakati zangu ndani ya mjengo wa Global Publishers. Leo nimewakumbuka kupitia barua sababu wengi wenu huwa hatupati muda wa kuzungumza. Naamini kwa barua hii ujumbe utawafikia wengi kwa wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani