Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arusha itazamwe kwa jicho la tatu

KATIKA historia ya Tanzania, Mkoa wa Arusha umekuwa kati ya maeneo yenye kubeba tunu nyingi za nchi hii, hususan katika sekta ya utalii na madini. Kutokana na fursa hizo, Mkoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vifo vya watoto, wajawazito vitazamwe kwa jicho la tatu

KUTOKANA na matatizo yanayoikabili sekta ya afya ikiwemo huduma zote stahiki kwa mjamzito, watoto walio chini ya miaka mitano na wazee wenye umri zaidi ya miaka 60 ni wakati muafaka...

 

10 years ago

GPL

BONGO MOVIES HILI LA UKIMWI MLITAZAME KWA JICHO LA TATU

KWENU mastaa wa Bongo Movies, bila shaka mko poa na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku. Nawapongeza kwa hilo maana kazi nzuri tunaziona kila kukicha.Mkitaka kujua hali yangu mimi ni mzima wa afya, kama kawaida naendeleza harakati zangu ndani ya mjengo wa Global Publishers. Leo nimewakumbuka kupitia barua sababu wengi wenu huwa hatupati muda wa kuzungumza. Naamini kwa barua hii ujumbe utawafikia wengi kwa wakati...

 

10 years ago

Bongo Movies

Makala:Bongo Movies Hili la Ukimwi Mlitazame Kwa Jicho la Tatu

Kwenu mastaa wa Bongo Movies, bila shaka mko poa na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku. Nawapongeza kwa hilo maana kazi nzuri tunaziona kila kukicha.Mkitaka kujua hali yangu mimi ni mzima wa afya, kama kawaida naendeleza harakati zangu ndani ya mjengo wa Global Publishers.

Leo nimewakumbuka kupitia barua sababu wengi wenu huwa hatupati muda wa kuzungumza. Naamini kwa barua hii ujumbe utawafikia wengi kwa wakati mmoja.Dhumuni la barua hii ni kutaka kuwakumbusha kuhusu suala zima la...

 

11 years ago

GPL

HAMZA KALALA: SERIKALI ITUPIE JICHO LA TATU MUZIKI

Stori: Elvan Stambuli
GWIJI wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala ‘Komandoo’ au ‘Mzee wa Madongo’, ambaye pia ni Kiongozi wa Bendi ya Bantu Group ya jijini Dar es Salaam, aliyetembelea chumba chetu cha habari Bamaga Mwenge hivi karibuni, amesema serikali inapaswa kutupia jicho la tatu au kuuangalia muziki wa dansi nchini kwa kuwa unatoa ajira kwa vijana. Gwiji wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF WAENDELEA KWA SIKU YA TATU JIJINI ARUSHA LEO

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Kabwe akiwasilisha mada yake iliyohusu Umuhimu wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii kwa Sekta zisizo rasmi wakati wa Mkutano wa nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya NPF-NSSF unaoendelea,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.  Bi. Faustina Nti kutoka nchini Ghana akiwasilisha Mada yake yenye kueleza uzoefu wa...

 

10 years ago

GPL

HONGERA BAYPORT: JICHO LENU KWA ALBINO LINA MAANA KWA TAIFA

Meneja Mauzo wa Bayport, Lugano Kasambala (kulia) akitoa mchango na pole kwa Ester Jonas. SIKU chache zimepita kama nilipata kusikia maneno ya busara kutoka kwa Meneja Mauzo wa Bayport Financial Services Kanda ya Ziwa, Lugano Kasambala. Mkuu huyo wa taasisi hiyo inayojihusisha na mikopo hapa nchini alizungumzia kwa kina vita dhidi ya mauaji ya Albino inayoendelea kushika kasi hapa nchini. Kasambala alikoleza kile...

 

11 years ago

Mwananchi

Wawekezaji gesi watazamwe kwa jicho la pili

Wakati shughuli za uwekezaji zikiendelea kwa kasi ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi, mpaka sasa inakadiriwa kuwapo na utajiri wa futi za ujazo trilioni 46 huku Serikali kupitia Shirika la Maendeleo la Petroli nchini (TPDC) likiendelea kusaini mikataba na kampuni mbalimbali katika shughuli za utafutaji wa nishati hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani