Mziray: Serikali itupie jicho vyuo vya kati
Ilikuwa ni ndoto kwa wahitimu wa kidato cha nne au sita kuendelea na masomo ya vyuo vya kati kwa miaka ya nyuma tofauti na ilivyo sasa kwa kuwa hali imekuwa chanya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
HAMZA KALALA: SERIKALI ITUPIE JICHO LA TATU MUZIKI
Stori: Elvan Stambuli
GWIJI wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala ‘Komandoo’ au ‘Mzee wa Madongo’, ambaye pia ni Kiongozi wa Bendi ya Bantu Group ya jijini Dar es Salaam, aliyetembelea chumba chetu cha habari Bamaga Mwenge hivi karibuni, amesema serikali inapaswa kutupia jicho la tatu au kuuangalia muziki wa dansi nchini kwa kuwa unatoa ajira kwa vijana. Gwiji wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala...
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Sumaye: Serikali ilikosea kuua vyuo vya kati
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema Serikali ilifanya kosa kuvibadili vyuo vya kati kuwa vyuo vikuu, kutokana na kupunguza idadi ya watumishi wa daraja la kati ambao ndiyo watendaji.
5 years ago
Michuzi
MAJALIWA: SERIKALI IMEFUNGA VYUO VYA KATI, VIKUU KUJIKINGA NA CORONA

Amesema hadi leo, nchini kuna jumla ya watu watatu waliobainika kuwa na virusi vya corona ikiwa ni ongezeko la wagonjwa wawili, mmoja ni raia wa Ujerumani (24) aliyegundulika Zanzibar na mwingine ni raia wa Marekani (61) aliyegundulika Dar es Salaam. Wote wapo katika uangalizi. ...
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Serikali yaingilia kati ada vyuo vikuu
 Serikali imekunjua makucha yake katika kudhibiti ada zinazotozwa katika vyombo vya utoaji elimu chini.
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Serikali yavishukia vyuo vya afya
Serikali imesema itachukua hatua stahiki dhidi ya vyuo na taasisi zitakazobainika kutoa mafunzo ya afya bila usajili kutoka kwa mamlaka husika.
9 years ago
Habarileo06 Dec
Serikali yahimizwa vyuo vya ufundi stadi
SERIKALI imetakiwa kuwekeza kwenye elimu ya vyuo vya ufundi stadi kwa lengo la kuviboresha na kutoa wahitimu bora hasa vijana.
11 years ago
GPL
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Rahma Ngassa (Kulia), akiwaeleza wanafunzi nhawa jinsi ya kujaza fomu za kujiunga na uanachama wa Mfuko huo, wakati wa maonyesho ya vyuo vya elimu ya juu yaliyoandaliwa na Tume ya vyuo vikuu (TCU), kwa kushirikiana na wizara ya elimu na mafunzo yan ufundi stadi. Maonyesho hayo ya siku tatu yamefunguliwa jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania