Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUZY RAHA YA MWANAUME ADEKE!

Stori: Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MSANII wa kitambo katika anga la filamu Bongo, Happy Nyatawe ‘Suzy’ amesema katika suala la uhusiano siku zote anampenda mwanaume anayejua kudeka. Msanii wa kitambo katika anga la filamu Bongo, Happy Nyatawe ‘Suzy’. Akizungumza na mwanahabari wetu, Suzy alisema mwanaume anayejua kujidekeza ndiye mzuri lakini ambaye anajidai ni mgumu na kuleta masharti yeye siyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Suzy: Raha ya Mwanaume Adeke,Akivaa Kanzu Ndio Ananimaliza!!!

Mwigizaji wa  filamu  za hapa Bongo, Happy Nyatawe ‘Suzy’ amesema katika suala la uhusiano siku zote anampenda mwanaume anayejua kudeka.

Akizungumza na mwanahabari wa GPL, Suzy alisema mwanaume anayejua kujidekeza ndiye mzuri lakini ambaye anajidai ni mgumu na kuleta masharti yeye siyo fani yake kabisa.

“Mwanaume mwenye masharti kama ugonjwa wa kisukari simtaki, mwanaume anayedeka ndiyo mpango mzima, halafu anayependa kuvaa kanzu hapo ndiyo atanimaliza kabisa,” alisema...

 

10 years ago

GPL

QUEEN SUZY HATIMAYE AJIFUNGUA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa
MWANAMUZIKI wa Bendi ya FM Academia, Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ hivi karibuni amejifungua mtoto wa kike na ameeleza kuwa, amefarajika kwani alikaa muda mrefu tangu alipopata wa kwanza wa kiume. Mtoto wa , Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ akiwa na babaake. Mwanadada huyo alijaaliwa kupata mtoto huyo baada ya kuuficha ujauzito wake kwani alikuwa akikaa ndani tu mpaka alipojifungua....

 

10 years ago

GPL

SUZY AKATAA KUITWA BONGO MOVIE

Stori:  Imelda Mtema
MSANII anayezidi kuja kwa kasi Bongo Movies, Happy Nyatawe ‘Suzy’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa kutokana na migogoro mbalimbali iliyokuwepo ndani ya Kundi la Bongo Movie, hata akipita njiani akiitwa kwa kutumia jina hilo hatogeuka. Msanii anayezidi kuja kwa kasi Bongo Movies, Happy Nyatawe ‘Suzy’ akipozi. Suzy alisema kutokana na ‘majanga’ kuwa mengi...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA AISHA CHAMUIBUA QUEEN SUZY

Mnenguaji wa FM AcademiaSuzan Chubwa ‘Queen Suzy’.
Stori: Gladness Mallya KIFO cha utata cha mnenguaji nyota Bongo, Mwanaisha Mbegu maarufu kama Aisha Madinda, kimemuibua Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ wa FM Academia, aliyewataka wenzake kuwa makini ili kutojiingiza katika utumiaji wa madawa ya kulevya. Akistorisha na paparazi wetu, Queen Suzy alisema ameumizwa sana na kifo hicho kwani ameacha pengo kubwa...

 

10 years ago

Mtanzania

QUEEN SUZY: Sina chuki na ndoa ya Kalala Jr.

queenSuzyNA RHOBI CHACHA
MNENGUAJI tishio wa bendi ya FM Academia, Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’, ameweka wazi kwamba hakuchukizwa na ndoa ya siri ya aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kalala Hamza ‘Kalala Jr.’ kwa kuwa walishaachana.
Queen Suzy alisema waliachana na mwanamuziki huyo anayeitumikia bendi ya Twanga Pepeta miaka nane iliyopita, hivyo hana wivu tena na mwanamume huyo na sasa anampongeza kwa kuwa alitumia muda mwingi kumtafuta mwanamke wa kumuoa.
“Si kweli kwamba nimechukia kuoa kwa Kalala kwa kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

raha ya vijijini...

 Raha ya vijijini ni chakula fresh kutoka shambani. Hapo juu Ankal akiwa Kiwira akiburudika na 'mabifu', na chini  akitoka shambani  kuchuma miwa huko Tukuyu, mkoani Mbeya

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa aahidi raha

WAZIRI Mkuu mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Kassim Majaliwa, amewaahidi raha wanamichezo, akisema ni eneo analolifahamu vyema na wasihofu katika hilo. Kutokana na hali hiyo amesema atamshauri Rais John Magufuli kumteua Waziri atakayeshughulikia michezo yule ambaye ana uelewa mpana zaidi wa mambo ya michezo.

 

11 years ago

GPL

UHURU PENZINI HUONGEZA RAHA

Jamani leo nimewaletea shangingi wa kiume ambaye mli-mmisi muda mrefu. Kwa vile kapita anga zangu nimempa kesi moja aijibu kwa vile inagusa upande wake. Babu Poa uwanja ni wako si unajua mimi huwa sirembi kamua mwanaume. “Asante Anti Naa, nina imani wengi tunajua baada ya kuandaa chakula na kuanza kula kuna kitu muhimu sana ambacho wengi huwa tunakisahau. Naona macho yashakutoka kutaka kujua mnasahau nini.
“Jamani...

 

10 years ago

Vijimambo

USWAHILI KUNA RAHA SANA

Kwa wale tuliokulia kitaa hii tuna miss sana jikumbushe na wewe kipindi hicho ulikuwa wapi 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani