Majaliwa aahidi raha
WAZIRI Mkuu mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Kassim Majaliwa, amewaahidi raha wanamichezo, akisema ni eneo analolifahamu vyema na wasihofu katika hilo. Kutokana na hali hiyo amesema atamshauri Rais John Magufuli kumteua Waziri atakayeshughulikia michezo yule ambaye ana uelewa mpana zaidi wa mambo ya michezo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo15 Dec
Nape aahidi raha wasanii
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amesema atahakikisha wanaimarisha eneo la sanaa ili liweze kufanikiwa na kuwa eneo linalojitegemea na linalojiimarisha vizuri na matunda yake kuonekana.
9 years ago
StarTV20 Nov
Kassim Majaliwa aahidi kuwajibika bila ubaguzi
Waziri mkuu mteule Mh. Kassim Majaliwa amesisitiza juu ya mshikamano baina ya wabunge katika kufanikisha malengo ya shuguli za Serikali na kuahidi kufanya kazi kwa kufika majimboni akiutaja mtindo huu kuwa wenye ufanisi zaidi.
Amebainisha hayo mara baada ya wabunge kuthibitisha jina na nafasi yake ya uwaziri mkuu kwa kura 258 sawa na asilimia 73.5.
Mheshimiwa Majaliwa ambaye ni mbunge Luangwa aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo ya ukuu wa wilaya na kuwa naibu waziri ofisi...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s72-c/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Waziri Mkuu Mteule Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuapishwa kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s640/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Sherehe za kumuapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa (pichani), Waziri Mkuu Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitafanyika katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2015 kuanzia saa 4.00 Asubuhi. Sherehe hizo zinafanyika siku moja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha jina lake kwa kura nyingi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uteuzi uliofanywa na Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s72-c/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA KWENYE MCHAPALO WA KUZINDUA BUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s640/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C-lADXy_RZI/VlDAx5UUIYI/AAAAAAAIHsc/8TDjhMZUmJU/s640/b5425740-67e0-4ea3-9bb5-1ee65c28cb0c.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ImqiqFDtHe4/default.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA, KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA RUANGWA
![rua1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua1.jpg)
![rua2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua2.jpg)
![rua3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua3.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-jDYCeAwJttE/Vk2jDikwYZI/AAAAAAAArjo/AabKPOOjuzY/s72-c/Kassim%2BMajaliwa.jpg)
MHE.MAJALIWA KASSIM MAJALIWA APATA ZAIDI YA ASILIMIA 73.5%
![](http://2.bp.blogspot.com/-jDYCeAwJttE/Vk2jDikwYZI/AAAAAAAArjo/AabKPOOjuzY/s1600/Kassim%2BMajaliwa.jpg)
Apigiwa kura 258Zilizoharibika ni kura 2Kura za hapana 91
Waziri Mkuu Mteule Majaliwa Kassim Majaliwa apata asilimia 73.5 ya kura zilizopigwa na wapunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-91OlTIPqjuc/Vk3UYxwpXMI/AAAAAAAIG2Q/syFrnKI7eY0/s72-c/e016df6a-9405-4fcb-8a4c-a6cc56bfa773.jpg)
JINA LA WAZIRI MKUU MTEULE MHE. MAJALIWA KASSIM MAJALIWA LILIPOWASILISHWA BUNGENI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-91OlTIPqjuc/Vk3UYxwpXMI/AAAAAAAIG2Q/syFrnKI7eY0/s640/e016df6a-9405-4fcb-8a4c-a6cc56bfa773.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SPwNhHsLDZc/Vk3UZe8j8uI/AAAAAAAIG2U/dKvkFwo7AbM/s640/341f65c7-1c03-42f7-b6f5-e556a02db311.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVsuTU_qSNo/Vk3UaZa4eYI/AAAAAAAIG2c/kbZMCLNE8kk/s640/70708e25-c1c4-43bb-ad49-a1215b5facba.jpg)