UHURU PENZINI HUONGEZA RAHA
![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkzhQPSlsrMYDaVLUJFQoGSJSZJy1hFlESib*9Z6Wk*vneAUEs5cQ1-nxrAtVXcqdifvOj6CHsFxtko8ksgVF2ZG/milakunissexysittingonchair.jpg?width=650)
Jamani leo nimewaletea shangingi wa kiume ambaye mli-mmisi muda mrefu. Kwa vile kapita anga zangu nimempa kesi moja aijibu kwa vile inagusa upande wake. Babu Poa uwanja ni wako si unajua mimi huwa sirembi kamua mwanaume. “Asante Anti Naa, nina imani wengi tunajua baada ya kuandaa chakula na kuanza kula kuna kitu muhimu sana ambacho wengi huwa tunakisahau. Naona macho yashakutoka kutaka kujua mnasahau nini. “Jamani...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW757l6T4jpStEEKbWYNe7P*G0PB46iElrzZToNdOL0euoo4jzFPyUBPTl1lzEcL0bDbXTDsk9Mg89uIRplcDyK2/romantichoneymoon.jpg?width=650)
MPE UHURU MPENZI WAKO AKUPE RAHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzdeg*cjvcLv7b*COgshE7CmEKw8cUMzg3P--OUkc8f9sfjPLg6S0y00m*JzzDvGuagL-TQPzQ6WsQEtBQ66WzE8/mahaba.jpg)
KAULI NDIYO SILAHA PENZINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaH87hV*y5BfGCDehNQ9MCDD1Q7BdL2aEjCJjb0UArLwTY*3JCEPmvAk2Q-6UDmrRi23fATcYTc0hvHWhRyUsd8I/bozi.jpg)
BOZI AELEZA SABABU ZA KUTODUMU PENZINI
10 years ago
Bongo Movies09 May
Tetesi: Jokate na Alikiba Wadaiwa Kuzama Penzini
Tetesi za mastaa wa hapa Bongo, Jokate Mwegelo na Ally Kiba kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zimezidi kupamba moto baada ya hapo jana mtangazaji wa Clouds FM Soudy Brown kumuoji Jokate juu ya ukweli wa tetesi hizo ambapo Jokate aliishia kucheka tu bila kutoa majibu.
Kwa mujibu wa Soudy kwa muda mrefu amekuwa akiwafuatilia wa wili hao kwani mara nyingi wamekuwa wakionana wakiwa pamoja sehemu mbalimbali kama kwenye restaurants na mara kadhaa nyumbani kwa Alikiba.
Sasa leo kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Zawadi huongeza thamani ya penzi
ASALAM Aleykum msomaji wa Urafiki na Mahusiano. Nakukaribisha katika safu hii ili tuweze kujadili masuala mbalimbali yanayohusu mapenzi lengo likiwa ni kustawisha mahusiano kwa wapendanao. Leo tutazungumzia nafasi ya zawadi katika...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Motisha huongeza ari ya utendaji kazi
MWANZONI mwa mwezi huu dunia iliadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani ijulikanayo kama Mei Mosi. Mara nyingi siku hii huadhimishwa kama vile walengwa ni wafanyakazi wa maofisini pekee, lakini ni siku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2auDmCT*OuL2X895sFrufe1xZrQGNPA4tOoG9NQfWNYit9KS8dM*OtNdvlSYkJJV7eqwalhp*FXdVB6BzTwvSFa/maria524x630.jpg?width=650)
MPANGILIO WA CHACHANDU HUONGEZA LADHA YA CHAKULA
9 years ago
Bongo531 Dec
Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70
![Anorgasmia](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Anorgasmia-300x194.jpg)
Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.
Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.
Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.
Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....