Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAULI NDIYO SILAHA PENZINI

KARIBUNI kwa mara nyingine katika safu yetu maridhawa ya All About Love. Kwa mtu anayejali, lazima atakuwa akipata vitu vinavyoweza kumsaidia katika maisha yake ya kimapenzi anayoishi.Tunajua changamoto nyingi zilizopo katika mambo yetu haya ya uhusiano. Mapenzi, pamoja na utamu wake, lakini hakuna kitu hatari kama hiki katika maisha kinachoweza kukuharibia ndani ya muda mchache kuliko unavyofikiri. Watu wanamwagiana maji ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Elimu ndiyo silaha ya mwanamke

“Bidii, kujiamini ndiyo silaha pekee, mimi sikuogopa kukimbilia fursa nilikuwa na ujasiri kwani ukweli sikujilipia mwenyewe elimu ya chuo kikuu nchini Uingereza, bali nilipata ufadhili. Namshukuru mama yangu alinifunza kujiamini kwani hata yeye alikuwa akijiamini sana ndiyo maana alitulea bila kutetereka,”. Ndivyo anavyoanza kusema Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Kampuni ya Multi Choice Tanzania, Barbara Kambogi.

 

10 years ago

Mwananchi

Hii ndiyo silaha ya mjasiriamali katika kufikia mafanikio

Wahenga walisema: “Maisha ni kuona mbele.” Huu ni usemi unaompa mjasiriamali matumaini ya kusonga mbele pasipo kutumia muda mwingi kuwaza yale aliyokwishafanya.

 

10 years ago

GPL

KAULI NZURI NDIYO MSINGI WA MAPENZI!BORA! 2

Wiki iliyopita, tulianza kujadili jinsi kauli nzuri zinavyoweza kujenga au kubomoa penzi lako. Unachopaswa kuzingatia katika maisha yako ya kila siku, ni kuchunga kauli zako uwapo na mwenzi wako.Kauli mbaya, hata kama ni ndogo namna gani, inaweza kusababisha mwenzi wako akakuchukia na kupunguza kabisa mapenzi kwako. Pia kauli nzuri, mazungumzo ya kufurahisha na ya busara, yana uwezo mkubwa wa kuboresha mapenzi na kumvuta zaidi...

 

10 years ago

GPL

KAULI NZURI NDIYO MSINGI WA MAPENZI BORA!

Ni matumaini yangu kwamba mpenzi msomaji wangu uko poa na unaendelea na majukumu yako kama kawaida. Ni Ijumaa nyingine tunapokutana katika busati letu la mahaba, tukijuzana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi baina yako na mkeo/mumeo, mchumba au mpenzi. Leo napenda tujadiliane kuhusu umuhimu wa kuchagua kauli nzuri na mazungumzo bora unapokuwa na mwenzi wako, bila kujali mpo sehemu gani.Utafiti wa wataalamu wa mapenzi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo kauli ya Klopp kuhusu Gerrard kurejea au kutorejea Liverpool

steven-gerrard-jurgen-klopp_3383496

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kumekuwepo kwa taarifa mbalimbali zilizokuwa zikimuhusisha mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anachezea klabu ya LA Galaxy ya Marekani, Steven Gerrard ambaye kwa sasa yupo mapumzikoni kwao Wingereza.

Baada ya tetesi kuzidi kusambaa hatimaye kocha wa Liverpool, Judgen Klopp amefunguka kuhusu Gerrard kama atarudi kuchezea Liverpool kwa mkopo au ataendelea kufanya mazoezi pekee na kikosi cha majogoo hao.

Kupitia kituo cha tv cha Sky Sports, Klopp...

 

11 years ago

GPL

UHURU PENZINI HUONGEZA RAHA

Jamani leo nimewaletea shangingi wa kiume ambaye mli-mmisi muda mrefu. Kwa vile kapita anga zangu nimempa kesi moja aijibu kwa vile inagusa upande wake. Babu Poa uwanja ni wako si unajua mimi huwa sirembi kamua mwanaume. “Asante Anti Naa, nina imani wengi tunajua baada ya kuandaa chakula na kuanza kula kuna kitu muhimu sana ambacho wengi huwa tunakisahau. Naona macho yashakutoka kutaka kujua mnasahau nini.
“Jamani...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

10 years ago

GPL

BOZI AELEZA SABABU ZA KUTODUMU PENZINI

Stori: Mayasa Mariwata
MUUZA sura kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ ambaye alikiri kubanjuka na mastaa wasiopungua 15, amesema sababu zinazomsababisha asidumu na mwanaume mmoja kwenye mapenzi ni kutokana na mateso aliyoyapata kwenye ndoa ya utotoni. Muuza sura kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’. Akibonga mawili matatu na paparazi wetu,  Bozi alisema tatizo la kutokuwa na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Tetesi: Jokate na Alikiba Wadaiwa Kuzama Penzini

Tetesi  za mastaa wa hapa Bongo, Jokate Mwegelo na Ally Kiba kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zimezidi kupamba moto baada ya hapo jana mtangazaji wa Clouds FM Soudy Brown kumuoji Jokate juu ya ukweli wa tetesi hizo ambapo Jokate aliishia kucheka tu bila kutoa majibu.

Kwa mujibu wa Soudy kwa muda mrefu amekuwa akiwafuatilia wa wili hao kwani mara nyingi wamekuwa wakionana  wakiwa pamoja sehemu mbalimbali  kama kwenye restaurants na mara kadhaa nyumbani kwa Alikiba.

Sasa leo kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani