KAULI NDIYO SILAHA PENZINI

KARIBUNI kwa mara nyingine katika safu yetu maridhawa ya All About Love. Kwa mtu anayejali, lazima atakuwa akipata vitu vinavyoweza kumsaidia katika maisha yake ya kimapenzi anayoishi.Tunajua changamoto nyingi zilizopo katika mambo yetu haya ya uhusiano. Mapenzi, pamoja na utamu wake, lakini hakuna kitu hatari kama hiki katika maisha kinachoweza kukuharibia ndani ya muda mchache kuliko unavyofikiri. Watu wanamwagiana maji ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Elimu ndiyo silaha ya mwanamke
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Hii ndiyo silaha ya mjasiriamali katika kufikia mafanikio
10 years ago
GPL
KAULI NZURI NDIYO MSINGI WA MAPENZI!BORA! 2
10 years ago
GPL
KAULI NZURI NDIYO MSINGI WA MAPENZI BORA!
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Hii ndiyo kauli ya Klopp kuhusu Gerrard kurejea au kutorejea Liverpool
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kumekuwepo kwa taarifa mbalimbali zilizokuwa zikimuhusisha mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anachezea klabu ya LA Galaxy ya Marekani, Steven Gerrard ambaye kwa sasa yupo mapumzikoni kwao Wingereza.
Baada ya tetesi kuzidi kusambaa hatimaye kocha wa Liverpool, Judgen Klopp amefunguka kuhusu Gerrard kama atarudi kuchezea Liverpool kwa mkopo au ataendelea kufanya mazoezi pekee na kikosi cha majogoo hao.
Kupitia kituo cha tv cha Sky Sports, Klopp...
11 years ago
GPL
UHURU PENZINI HUONGEZA RAHA
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
10 years ago
GPL
BOZI AELEZA SABABU ZA KUTODUMU PENZINI
10 years ago
Bongo Movies09 May
Tetesi: Jokate na Alikiba Wadaiwa Kuzama Penzini
Tetesi za mastaa wa hapa Bongo, Jokate Mwegelo na Ally Kiba kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zimezidi kupamba moto baada ya hapo jana mtangazaji wa Clouds FM Soudy Brown kumuoji Jokate juu ya ukweli wa tetesi hizo ambapo Jokate aliishia kucheka tu bila kutoa majibu.
Kwa mujibu wa Soudy kwa muda mrefu amekuwa akiwafuatilia wa wili hao kwani mara nyingi wamekuwa wakionana wakiwa pamoja sehemu mbalimbali kama kwenye restaurants na mara kadhaa nyumbani kwa Alikiba.
Sasa leo kwenye...