KAULI NZURI NDIYO MSINGI WA MAPENZI BORA!
![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUJI29Q0wW-crxjwjEJiFPAgA69DcV4nR9J1XLQAjBMdHojLnmeAb7SVM*UiAlOeR45PBBniZag3OCuktoEGHP4j/marriage_sex_tips1.jpg?width=650)
Ni matumaini yangu kwamba mpenzi msomaji wangu uko poa na unaendelea na majukumu yako kama kawaida. Ni Ijumaa nyingine tunapokutana katika busati letu la mahaba, tukijuzana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi baina yako na mkeo/mumeo, mchumba au mpenzi. Leo napenda tujadiliane kuhusu umuhimu wa kuchagua kauli nzuri na mazungumzo bora unapokuwa na mwenzi wako, bila kujali mpo sehemu gani.Utafiti wa wataalamu wa mapenzi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiIbp1C5dpDZMieQkFKHDvhLlSjVDWFg0Yb4pjA35DqmvaKnoB5jOqFT1k0kkN4r8*6*l8mdNZleuXwhgpsd9bQP/Love.jpg?width=650)
KAULI NZURI NDIYO MSINGI WA MAPENZI!BORA! 2
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzdeg*cjvcLv7b*COgshE7CmEKw8cUMzg3P--OUkc8f9sfjPLg6S0y00m*JzzDvGuagL-TQPzQ6WsQEtBQ66WzE8/mahaba.jpg)
KAULI NDIYO SILAHA PENZINI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s72-c/_MG_5213.jpg)
DKT MAGUFULI ALIVYOITEKA MUSOMA, ASEMA MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V3NXh4LQFcI/VfMYKjOzTtI/AAAAAAAC-9E/NPLO1xXAxGE/s640/_MG_5242.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s72-c/_MG_5213.jpg)
MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO-DKT MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6tB5GfgHDpE/VfMY1jMfO5I/AAAAAAAC-9s/7u7KRNpoCzQ/s640/_MG_5246.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Hii ndiyo kauli ya Klopp kuhusu Gerrard kurejea au kutorejea Liverpool
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kumekuwepo kwa taarifa mbalimbali zilizokuwa zikimuhusisha mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anachezea klabu ya LA Galaxy ya Marekani, Steven Gerrard ambaye kwa sasa yupo mapumzikoni kwao Wingereza.
Baada ya tetesi kuzidi kusambaa hatimaye kocha wa Liverpool, Judgen Klopp amefunguka kuhusu Gerrard kama atarudi kuchezea Liverpool kwa mkopo au ataendelea kufanya mazoezi pekee na kikosi cha majogoo hao.
Kupitia kituo cha tv cha Sky Sports, Klopp...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--Yrv5loffi8/VaF3nJj6o6I/AAAAAAAABto/Ohi363JINeU/s72-c/0.jpg)
9 years ago
Vijimambo22 Oct
HII NDIYO YANGA SC INA KIKOSI BORA ‘KILICHOSHIBA’
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Vicent-Bosou.png)
Mlinzi wa kati wa Yanga Vicent Bosou ambaye amecheza kwa dakika zote 90 kwa mara ya kwanza wakati Yanga ikicheza dhidi ya Toto Africans
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam
Licha ya wachezaji wake kuendelea kuendelea kukosa kujiamini wapatapo ‘mkwaju wa penati’, washambuaji wa Yanga SC ameendelea kufunga magoli ya kutosha na kujikita katika kilele cha msimamo. Mlinzi wa kulia, Juma Abdul alifunga goli ‘maridadi’ la mkwaju wa mita zisizopungua 23 mapema dakika ya 9’ wakati Yanga ikicheza na...