Elimu ndiyo silaha ya mwanamke
“Bidii, kujiamini ndiyo silaha pekee, mimi sikuogopa kukimbilia fursa nilikuwa na ujasiri kwani ukweli sikujilipia mwenyewe elimu ya chuo kikuu nchini Uingereza, bali nilipata ufadhili. Namshukuru mama yangu alinifunza kujiamini kwani hata yeye alikuwa akijiamini sana ndiyo maana alitulea bila kutetereka,â€. Ndivyo anavyoanza kusema Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Kampuni ya Multi Choice Tanzania, Barbara Kambogi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzdeg*cjvcLv7b*COgshE7CmEKw8cUMzg3P--OUkc8f9sfjPLg6S0y00m*JzzDvGuagL-TQPzQ6WsQEtBQ66WzE8/mahaba.jpg)
KAULI NDIYO SILAHA PENZINI
KARIBUNI kwa mara nyingine katika safu yetu maridhawa ya All About Love. Kwa mtu anayejali, lazima atakuwa akipata vitu vinavyoweza kumsaidia katika maisha yake ya kimapenzi anayoishi.Tunajua changamoto nyingi zilizopo katika mambo yetu haya ya uhusiano. Mapenzi, pamoja na utamu wake, lakini hakuna kitu hatari kama hiki katika maisha kinachoweza kukuharibia ndani ya muda mchache kuliko unavyofikiri. Watu wanamwagiana maji ya...
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Hii ndiyo silaha ya mjasiriamali katika kufikia mafanikio
Wahenga walisema: “Maisha ni kuona mbele.†Huu ni usemi unaompa mjasiriamali matumaini ya kusonga mbele pasipo kutumia muda mwingi kuwaza yale aliyokwishafanya.
10 years ago
Vijimambo24 Feb
MWANAMKE ATTITUDE HABARI NDIYO HII
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/joti778.jpg)
Japo kuwa Joti akiwa kama ‘Bi kiboga’ ametokelezea kiofisi zaidi, watu wengi wamejituka wakiangusha komenti nyingi wakielezea kuvunjika kwa mbavu zao kwa kicheko huku wengine wakisema mnuno wake ndio balaa na wengine wakisema skuna ndio sheedah ilimradi kila mmoja kafurahi kwa mtindo wake.
Kiukweli kabisa kijana huyu ni moja...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
MWANAMKE: Ujasiri katika uamuzi ndiyo umenifikisha hapa
Katika tamaduni za kimagharibi mtoto ana uhuru wa kuchagua afanye nini au ajikite kwenye taaluma gani ambayo anaona inafaa au kumvutia.
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Elimu bora; silaha ya kupambana na adui umaskini
Mwanahabari mkongwe, Othman Miraj anasema umaskini uliokithiri nchini ni suala lililogubikwa na mambo kadhaa yaliyosongamana.
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-2ybTIpW6Zds/VTtn-nb0aaI/AAAAAAAHTFs/qabxbNS_f1E/s1600/01.jpg)
WAHITIMU KIDATO CHA SITA JANGWANI WAASWA KUTUMIA ELIMU KAMA SILAHA YA UKOMBOZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola akisalimiana na baadhi ya wahitimu wa kidato cha sita mwishoni mwa wiki wakati alipokuwa mgeni rasmi katika wa mahafali hayo shuleni Jangwani sekondari iliyopo manispaa ya Ilala Jijini Dare s salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola (wa katikati) na baadhi wa viongozi wa shule wakielekea eneo la mahafali ya kidato cha sita ya shule ya...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Elimu ndiyo kila kitu, tusiogope kurudi shule
Ujasiriamali ni sifa ya asili aliyonayo kila mwanamke duniani. Lakini ili kuwa na tija hata ufanisi zaidi katika kazi hiyo, elimu ya darasani inahitajika.
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Hii ndiyo sababu ya kuwa na sera mpya ya elimu
Serikali imekusudia kuleta mapinduzi ya kiuchumi ili kuibadili Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
10 years ago
Mwananchi17 Feb
UCHAMBUZI: Hii ndiyo sababu ya kuwa na sera mpya ya elimu
>Serikali imekusudia kuleta mapinduzi ya kiuchumi ili kuibadili Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania