Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elimu bora; silaha ya kupambana na adui umaskini

Mwanahabari mkongwe, Othman Miraj anasema umaskini uliokithiri nchini ni suala lililogubikwa na mambo kadhaa yaliyosongamana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sh70 bilioni kupambana na umaskini

 Serikali imetenga Sh70 bilioni katika mwaka wa fedha 2014/15 ili kutekeleza awamu ya tatu ya mpango wa kunusuru kaya maskini nchini ambazo zinaishi chini ya mlo mmoja kwa siku.

 

10 years ago

Mwananchi

Vyombo vya dola; adui mkubwa wa demokrasia na utawala bora

Wahenga husema “kikulacho ki-nguoni mwako.” Serikali ya Tanzania imejipambanua na kujipigia debe kama ni serikali inayoongoza kwa kutumia demokrasia na utawala bora.

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu ndiyo silaha ya mwanamke

“Bidii, kujiamini ndiyo silaha pekee, mimi sikuogopa kukimbilia fursa nilikuwa na ujasiri kwani ukweli sikujilipia mwenyewe elimu ya chuo kikuu nchini Uingereza, bali nilipata ufadhili. Namshukuru mama yangu alinifunza kujiamini kwani hata yeye alikuwa akijiamini sana ndiyo maana alitulea bila kutetereka,”. Ndivyo anavyoanza kusema Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Kampuni ya Multi Choice Tanzania, Barbara Kambogi.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.

Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA

 Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum akisalimiana na mwakilishi kutoka UNICEF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.  Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum akisikiliza kwa makini hoja iliyokuwa ikitolewa na mwakilishi kutoka CIFF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.

 Wajumbe kutoka nchi mbali mbali Duniani wakimsikiliza Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya ( hayupo kwenye picha) alipokuwa akiwasilisha mada na kuchangia hoja mbalimbali katika mkutano uliohusu Lishe bora kwa mtoto...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA‏

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akipokelewa na Mabalozi wa shule ya sekondari ya Imperial wakati alipowasili kwenye banda la shule hyo jana na kupata maelezo mbalimbali kutoka kwa Mkuu wa shule hiyo na waalimu. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akiingia katika banda la shule ya sekondari Imperial.… ...

 

10 years ago

GPL

WAHITIMU KIDATO CHA SITA JANGWANI WAASWA KUTUMIA ELIMU KAMA SILAHA YA UKOMBOZI

Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola akisalimiana na baadhi ya wahitimu wa kidato cha sita mwishoni mwa wiki wakati alipokuwa mgeni rasmi katika wa mahafali hayo shuleni Jangwani sekondari iliyopo manispaa ya Ilala Jijini Dare s salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Tausi Dreams Foundation Tausi Likokola (wa katikati) na baadhi wa viongozi wa shule wakielekea eneo la mahafali ya kidato cha sita ya shule ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Wataalam: Elimu ya kutosha inahitajika kupambana na Malaria

Elimu ndogo juu ya kupambana na mbu wanaoeneza ugonjwa wa Malaria ndio inachangia vita dhidi ya ugonjwa huo kuwa ngumu, imeelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani