Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPANGILIO WA CHACHANDU HUONGEZA LADHA YA CHAKULA

Aka babu acha nicheke miye, Mungu kanipa uzima na afya tena yenye furaha mdomoni meno  ya sebuleni yapo, katikati mwanya wa uchokozi pembeni kidogo jino la dhahabu kwa nini nisicheke kuonesha nilichonacho. Najua mwenye mapengo anaona kama sikumtendea haki, jamani kucheka si lazima uwe na meno hata ukiwa huna meno we cheka tu tena jiachie mate yakiruka waombe msamaha kwani raha ya kucheka ufurahishwe.
Basi ngoja nikupashe...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je ukipoteza uwezo wa kunusa harufu na ladha ya chakula utakuwa umepata virusi vya corona?

Hata hivyo wataalamu wanasisitiza kuwa dalili kuu ni homa na kikozi ndio za kuzitazama zaidi.

 

11 years ago

GPL

UHURU PENZINI HUONGEZA RAHA

Jamani leo nimewaletea shangingi wa kiume ambaye mli-mmisi muda mrefu. Kwa vile kapita anga zangu nimempa kesi moja aijibu kwa vile inagusa upande wake. Babu Poa uwanja ni wako si unajua mimi huwa sirembi kamua mwanaume. “Asante Anti Naa, nina imani wengi tunajua baada ya kuandaa chakula na kuanza kula kuna kitu muhimu sana ambacho wengi huwa tunakisahau. Naona macho yashakutoka kutaka kujua mnasahau nini.
“Jamani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zawadi huongeza thamani ya penzi

ASALAM Aleykum msomaji wa Urafiki na Mahusiano. Nakukaribisha katika safu hii ili tuweze kujadili masuala mbalimbali yanayohusu mapenzi lengo likiwa ni kustawisha mahusiano kwa wapendanao. Leo tutazungumzia nafasi ya zawadi katika...

 

10 years ago

GPL

KUTOKWA NA DAMU UKENI BILA MPANGILIO (ABNORMAL UTERINE BLEEDING)

Tatizo hili kwa ufupi huitwa ‘AUB’ mzunguko wa hedhi wa kawaida kwa mwanamke ni siku 28 na damu hutoka kwa siku nne, ingawa huwa inatofautiana kati ya mwanamke na mwanamke kwa kuwa wapo wenye mzunguko mfupi na wenye mzunguko mrefu tutakuja kuona katika mada zijazo. Mwanamke anayetokwa na damu kwa muda mrefu mara kwa mara huwa tunasema ana tatizo liitwalo ‘menometrorrhagia’. Mwanamke ambaye anapata damu...

 

10 years ago

GPL

KUTOKWA NA DAMU UKENI BILA MPANGILIO (ABNORMAL UTERINE BLEEDING)-2

Wiki iliyopita nilianza kuzungumzia mada hii, leo nitaimalizia ili wiki ijayo nianze mada nyingine.
Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke huambatana na tatizo katika kuta za ndani za kizazi ambapo mwanamke hulalamika pia kuumwa na tumbo chini ya kitovu mara kwa mara. Cervicitis ni maambukizi sugu ya mlango na shingo ya kizazi ambapo mwanamke hupatwa na maumivu wakati wa tendo la kujamiiana na hata kutokwa na damu. Kasoro...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DOMINICA HAULE: Mwanaharakati anayeamini mafanikio huja kwa mpangilio

LEO namzungumzia Dominica Haule, mwanahabari mkongwe, mwanaharakati wa haki za binadamu anayepambana bila kelele, makeke, majigambo au mashindano. Anaamini utetezi wa haki za binadamu na suala zima la jinsia linahitaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Motisha huongeza ari ya utendaji kazi

MWANZONI mwa mwezi huu dunia iliadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani ijulikanayo kama Mei Mosi. Mara nyingi siku hii huadhimishwa kama vile walengwa ni wafanyakazi wa maofisini pekee, lakini ni siku...

 

5 years ago

Michuzi

Zainab -ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio kujiepusha na vitambi










NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE



OFISA Lishe wa halmashauri ya Chalinze,mkoani Pwani, Zainab Waziri ,ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio na kuzingatia lishe bora kwa afya ya binadamu ili kujiepusha kupata uzito mkubwa, vitambi na matumbo makubwa kwa akinamama.

Akizungumza wakati wa zoezi la upimaji uzito wa mwili,sukari ,shinikizo la damu na upimaji wa hali ya lishe, kwa watumishi wa halmashauri hiyo ,alisema wameamua kufanya zoezi hilo ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

NACADA yaharamisha ladha za Shisha

Shirika la kupambana na dawa za kulevya nchini Kenya limeharamisha ladha 19 za Shisha ikisema zinachanganywa na

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani