Zainab -ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio kujiepusha na vitambi
![](https://1.bp.blogspot.com/-ok3TnQmT8Fg/XvOIkrSxxZI/AAAAAAALvTc/TDPd2UcxjPs42pR6lUBuJ5b1EMbJzZXqgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200622_112633_3-scaled.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE
OFISA Lishe wa halmashauri ya Chalinze,mkoani Pwani, Zainab Waziri ,ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio na kuzingatia lishe bora kwa afya ya binadamu ili kujiepusha kupata uzito mkubwa, vitambi na matumbo makubwa kwa akinamama.
Akizungumza wakati wa zoezi la upimaji uzito wa mwili,sukari ,shinikizo la damu na upimaji wa hali ya lishe, kwa watumishi wa halmashauri hiyo ,alisema wameamua kufanya zoezi hilo ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Dec
‘Jamii Kwanza’ yazinduliwa na rai ya elimu kubadili jamii
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewataka watu waliopata elimu kuitumia kwa manufaa ya umma ili kuleta mabadiliko ya haraka katika jamii.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k6uO9SsnvCst*n1ihcjOSV6QOuuH*rYuZR0oJvsJyP-vhLiyOJHViL6DWKbW90j8bOY0c*dEm7blyBUiLoNgFzq/Blausen_0732_PIDSites.png?width=650)
KUTOKWA NA DAMU UKENI BILA MPANGILIO (ABNORMAL UTERINE BLEEDING)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1p4RyN1iWjpsCG54X6*jLwUE6t6XMRYXyAmPUFlvxLlqHxMV35IRTuFH1lRxlSPdZsHpe9pBk3ERO0qDDB5r7q/Z1hiq.jpg?width=650)
KUTOKWA NA DAMU UKENI BILA MPANGILIO (ABNORMAL UTERINE BLEEDING)-2
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
DC Makete atoa rai kwa jamii ya Makete kusaidia watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi
Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.
Na Mwandishi wetu
Imeelezwa kuwa ni jukumu la kila mmoja kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, na si kuiachia serikali ama mashirika yasiyo ya kiserikali peke yao kufanya kazi hiyo
Kauli hiyo imetolewa...
11 years ago
Michuzi16 Jun
MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI
11 years ago
GPLMKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI
11 years ago
Habarileo25 Feb
Bunge kula wiki 3 bila kuanza mjadala
BUNGE Maalum la Katiba linatarajiwa kumaliza zaidi ya wiki tatu za wajumbe wake kuwapo Dodoma, bila hata kuanza mjadala wa Rasimu ya Pili ya Katiba mpya.
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Jamii yatakiwa kuacha unyanyapaa
JAMII imetakiwa kuondokana na suala la unyanyapaa kwani ni janga kubwa linalochangia ubaguzi na kuhatarisha maisha ya watu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Faharisi...
11 years ago
Habarileo18 Mar
Jamii yashauriwa kuacha pombe
JAMII imetakiwa kupunguza matumizi ya bidhaa zitokanazo na tumbaku, ikiwemo uvutaji wa sigara na kunywa pombe ili kujiepusha na magonjwa mbalimbali yasiyoambukiza.