Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge kula wiki 3 bila kuanza mjadala

BUNGE Maalum la Katiba linatarajiwa kumaliza zaidi ya wiki tatu za wajumbe wake kuwapo Dodoma, bila hata kuanza mjadala wa Rasimu ya Pili ya Katiba mpya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bunge kuanza wiki ijayo

MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge unatarajiwa kuanza wiki ijayo, ambapo pamoja na mambo mbalimbali, utajadili miswada miwili binafsi, ukiwamo muswada binafsi wa mbunge, maazimio matatu na Muswada wa Kamati ya Bajeti.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjadala wa rasimu kuanza leo

MJADALA wa Rasimu ya Katiba mpya unaanza leo kwa wajumbe wa kamati zote 12 za Bunge Maalumu la Katiba kujadili sura mbili kwa siku mbili leo na Jumatatu. Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakazi wakiri kula kinyesi bila kujua wilayani Karagwe

>Baadhi ya wananchi wa  Kijiji cha Kafunjo, Kata ya Kiruruma, wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wamesema wamekuwa wanakula kinyesi bila kujua kutokana na kutokuwa na vyoo bora.

 

5 years ago

Michuzi

Zainab -ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio kujiepusha na vitambi










NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE



OFISA Lishe wa halmashauri ya Chalinze,mkoani Pwani, Zainab Waziri ,ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio na kuzingatia lishe bora kwa afya ya binadamu ili kujiepusha kupata uzito mkubwa, vitambi na matumbo makubwa kwa akinamama.

Akizungumza wakati wa zoezi la upimaji uzito wa mwili,sukari ,shinikizo la damu na upimaji wa hali ya lishe, kwa watumishi wa halmashauri hiyo ,alisema wameamua kufanya zoezi hilo ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKINDA AONGOZA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE, KIKAO CHA BUNGE KUANZA JANUARI 27

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa Zitto Kabwe akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Uongozi wakati kamati hiyo ilipokaa kuapanga ratiba ya Mkutano wa Bunge kwenye ofisindogo za bunge jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi Januari 22, 2015. Kikao cha bunge kinatarajiwa kuanza Januari 27, 2015Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kamati Uongozi leoMwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Rajabu Mbarouk akieleza jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Uongozi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mjadala mkali kutikisa bunge


NA SELINA WILSON, DODOMA
MJADALA mkali unatarajiwa kutikisa Bunge leo, wakati wabunge watakapoanza kuchangia bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015 iliyowasilishwa bungeni Alhamisi iliyopita.
Bajeti hiyo iliwasilishwa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum,  na kufuatiliwa kwa karibu na wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi huku baadhi yao wakipata fursa ya kuwepo bungeni ilipowasilishwa.
Hoja zinazotarajiwa kuteka mjadala huo ni pamoja na kodi ya Payee wanayokatwa wafanyakazi ambayo...

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Mjadala Bunge la Katiba ni mwafaka

Rais Jakaya Kikwete amesema hana wasiwasi na hali ya mjadala mkali uliotawala Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu ni muhimu kwa mjadala kuhusu Katiba Mpya ukawa wa kina ili kuweza kupata Katiba bora kwa Watanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjadala Bunge zima la Katiba waanza

Kamati za Bunge la Katiba zitawasilisha sura moja baada ya nyingine kwenye Bunge zima kuanzia leo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu limechepuka kwenye mjadala — 2

BUNGE Maalumu la Katiba lipo mapumzikoni. Kabla ya kwenda katika mapumziko haya, lilitakiwa kujadili rasimu ya katiba na walijipangia kujadili sura ya pili na ile ya sita ya rasimu husika....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani