Bunge kula wiki 3 bila kuanza mjadala
BUNGE Maalum la Katiba linatarajiwa kumaliza zaidi ya wiki tatu za wajumbe wake kuwapo Dodoma, bila hata kuanza mjadala wa Rasimu ya Pili ya Katiba mpya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Oct
Bunge kuanza wiki ijayo
MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge unatarajiwa kuanza wiki ijayo, ambapo pamoja na mambo mbalimbali, utajadili miswada miwili binafsi, ukiwamo muswada binafsi wa mbunge, maazimio matatu na Muswada wa Kamati ya Bajeti.
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mjadala wa rasimu kuanza leo
MJADALA wa Rasimu ya Katiba mpya unaanza leo kwa wajumbe wa kamati zote 12 za Bunge Maalumu la Katiba kujadili sura mbili kwa siku mbili leo na Jumatatu. Mwenyekiti wa...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Wakazi wakiri kula kinyesi bila kujua wilayani Karagwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ok3TnQmT8Fg/XvOIkrSxxZI/AAAAAAALvTc/TDPd2UcxjPs42pR6lUBuJ5b1EMbJzZXqgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200622_112633_3-scaled.jpg)
Zainab -ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio kujiepusha na vitambi
![](https://1.bp.blogspot.com/-ok3TnQmT8Fg/XvOIkrSxxZI/AAAAAAALvTc/TDPd2UcxjPs42pR6lUBuJ5b1EMbJzZXqgCLcBGAsYHQ/s1600/IMG_20200622_112633_3-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG_20200622_112958_2-scaled.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE
OFISA Lishe wa halmashauri ya Chalinze,mkoani Pwani, Zainab Waziri ,ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio na kuzingatia lishe bora kwa afya ya binadamu ili kujiepusha kupata uzito mkubwa, vitambi na matumbo makubwa kwa akinamama.
Akizungumza wakati wa zoezi la upimaji uzito wa mwili,sukari ,shinikizo la damu na upimaji wa hali ya lishe, kwa watumishi wa halmashauri hiyo ,alisema wameamua kufanya zoezi hilo ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati ya...
10 years ago
VijimamboMAKINDA AONGOZA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE, KIKAO CHA BUNGE KUANZA JANUARI 27
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Mjadala mkali kutikisa bunge
NA SELINA WILSON, DODOMA
MJADALA mkali unatarajiwa kutikisa Bunge leo, wakati wabunge watakapoanza kuchangia bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015 iliyowasilishwa bungeni Alhamisi iliyopita.
Bajeti hiyo iliwasilishwa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, na kufuatiliwa kwa karibu na wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi huku baadhi yao wakipata fursa ya kuwepo bungeni ilipowasilishwa.
Hoja zinazotarajiwa kuteka mjadala huo ni pamoja na kodi ya Payee wanayokatwa wafanyakazi ambayo...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
JK: Mjadala Bunge la Katiba ni mwafaka
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Mjadala Bunge zima la Katiba waanza
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Bunge Maalumu limechepuka kwenye mjadala — 2
BUNGE Maalumu la Katiba lipo mapumzikoni. Kabla ya kwenda katika mapumziko haya, lilitakiwa kujadili rasimu ya katiba na walijipangia kujadili sura ya pili na ile ya sita ya rasimu husika....