Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamii yashauriwa kuacha pombe

JAMII imetakiwa kupunguza matumizi ya bidhaa zitokanazo na tumbaku, ikiwemo uvutaji wa sigara na kunywa pombe ili kujiepusha na magonjwa mbalimbali yasiyoambukiza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yashauriwa kutunga sera ya kudhibiti pombe

DSC_0279

Banda la Mtandao wa mashirika yapatayo 30 ya kupambana na matumizi ya kupita kiasi ya pombe nchini (Tanzania Network Against Alcohol Abuse) kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

Na Mwandishi Wetu

SERIKALI imeshauriwa kutunga sera madhubuti ya udhibiti wa pombe katika jamii ili pamoja na mambo mengine kuhakikisha vijana wanalindwa dhidi ya bidhaa hiyo kwenye soko.

Akizungumza na Moblog Tanzania jijini Dar es Salaam katika viwanja vya...

 

11 years ago

GPL

SERIKALI YASHAURIWA KUTUNGA SERA YA KUDHIBITI POMBE‏

Banda la Mtandao wa mashirika yapatayo 30 ya kupambana na matumizi ya kupita kiasi ya pombe nchini (Tanzania Network Against Alcohol Abuse) kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani Mkurugenzi Mtendaji wa Makangarale Youth Theatre, ambao ni taasisi chini ya Tanzania Network Against Alcohol Abuse (TAAnet), Bw. Ismael Mnikite akifafanua jambo kwa Mgeni Rasmi kutoka… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yashauriwa kutunza kinywa

WANANCHI wameshauriwa kutunza kinywa na kujijengea tabia ya kutembelea vituo vya afya mara kwa mara ili kujua jinsi ya kujilinda dhidi ya magonjwa mbalimbali ya kinywa. Akizungumza na Tanzania Daima ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yashauriwa kupima afya ya sikio

JAMII imeshauriwa kutembelea vituo vya afya mara kwa mara ili kujua namna ya kujitunza na kujikinga dhidi ya maradhi mbalimbali yanayotokanayo na masikio. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar...

 

10 years ago

Michuzi

JAMII YASHAURIWA KUTUMIA KINYWAJI CHA TREVO

Afisa Mtendaji  Mkuu wa kinywaji cha Trevo, Mark Stevens akizungumza na Waandishi wa Habari(hawapo pichani) juu umuhimu wa kinywaji na  kinywaji cha Trevo ambacho kipo nchini kwa takribani miezi tisa, na kinavyoweza kuwasaidia afya za binadamu endapo kuna mapungufu katika mwili  hasa kuimarisha afya zao.
Pia aliongezea kuwa Kinywaji cha Trevo ni kinywaji kilichotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu kinaachuhusisha  vyakula mbalimbali nyenye kiwango kikubwa vya virutubisho na kutoka mataifa...

 

9 years ago

Habarileo

Jamii yashauriwa kujali watu wenye ulemavu

JAMII nchini imehimizwa kuongeza ushirikiano kwa makundi ya watu walio na mahitaji maalumu hususan wenye ulemavu kwa kuwa kufanya hivyo kutawezesha uwepo wa jamii iliyo na ustawi na yenye kujali maslahi ya kila mmoja.

 

10 years ago

Mtanzania

Jamii yashauriwa kuzingatia matumizi salama ya mitandao

yusuphNA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

WATAALAMU wa mitandao wametoa wito kwa jamii juu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa mawasiliano, mtaalamu wa usalama katika mitandao na uchunguzi wa makosa ya digitali, Yusuph Kileo, alisema matumizi mabaya ya mitandao yasipodhibitiwa yanaweza kuchangia kuyumba kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA: Wazee watakiwa kuacha pombe, sigara

>Wazee wilayani hapa mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuachana na matumizi ya pombe na uvutaji wa sigara na kujiweka katika hali ya usafi ili waweze kuwa na afya bora na kuondokana na magonjwa yasiyo ya lazima.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jamii yashauriwa kuendeleza miradi inayoanzishwa ili kuvutia wawekezaji

DSC04364

Dwani wa kata ya Ihanja (CCM) Ayubu Noah, akizungumza kwenye hafla ya kata hiyo ya Ihanja, kukabdhiwa  ili wauendeleze mradi wa ushiriki wa wanaume katika afya ya uzazi ni chanzo cha mabadiliko katika afya ya mama na mtoto.Kulia ni Afisa tathimini na ufuatiliaji TMEP, George Mutasingwa John na kushoto ni Afisa wa shirika la HAPA, Joseph Mnyambi.

Na Nathaniel  Limu, Ikungi

WAKAZI wa  vijijini tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoani Singida,wamehimizwa  kujenga utamaduni wa kuendeleza miradi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani