JAMII YASHAURIWA KUTUMIA KINYWAJI CHA TREVO
Afisa Mtendaji Mkuu wa kinywaji cha Trevo, Mark Stevens akizungumza na Waandishi wa Habari(hawapo pichani) juu umuhimu wa kinywaji na kinywaji cha Trevo ambacho kipo nchini kwa takribani miezi tisa, na kinavyoweza kuwasaidia afya za binadamu endapo kuna mapungufu katika mwili hasa kuimarisha afya zao.
Pia aliongezea kuwa Kinywaji cha Trevo ni kinywaji kilichotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu kinaachuhusisha vyakula mbalimbali nyenye kiwango kikubwa vya virutubisho na kutoka mataifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Serikali yashauriwa kutumia samani za wazawa
11 years ago
Habarileo18 Mar
Jamii yashauriwa kuacha pombe
JAMII imetakiwa kupunguza matumizi ya bidhaa zitokanazo na tumbaku, ikiwemo uvutaji wa sigara na kunywa pombe ili kujiepusha na magonjwa mbalimbali yasiyoambukiza.
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Jamii yashauriwa kutunza kinywa
WANANCHI wameshauriwa kutunza kinywa na kujijengea tabia ya kutembelea vituo vya afya mara kwa mara ili kujua jinsi ya kujilinda dhidi ya magonjwa mbalimbali ya kinywa. Akizungumza na Tanzania Daima ...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Jamii yashauriwa kupima afya ya sikio
JAMII imeshauriwa kutembelea vituo vya afya mara kwa mara ili kujua namna ya kujitunza na kujikinga dhidi ya maradhi mbalimbali yanayotokanayo na masikio. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar...
10 years ago
MichuziKIWANDA CHA KONYAGI CHAZINDUA KINYWAJI CHA ZANZI CHENYE LADHA ZA CHOCOLATE NA KAHAWA
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Jamii yashauriwa kuzingatia matumizi salama ya mitandao
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
WATAALAMU wa mitandao wametoa wito kwa jamii juu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa mawasiliano, mtaalamu wa usalama katika mitandao na uchunguzi wa makosa ya digitali, Yusuph Kileo, alisema matumizi mabaya ya mitandao yasipodhibitiwa yanaweza kuchangia kuyumba kwa...
9 years ago
Habarileo05 Dec
Jamii yashauriwa kujali watu wenye ulemavu
JAMII nchini imehimizwa kuongeza ushirikiano kwa makundi ya watu walio na mahitaji maalumu hususan wenye ulemavu kwa kuwa kufanya hivyo kutawezesha uwepo wa jamii iliyo na ustawi na yenye kujali maslahi ya kila mmoja.
11 years ago
MichuziMgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Jamii yashauriwa kuendeleza miradi inayoanzishwa ili kuvutia wawekezaji
Dwani wa kata ya Ihanja (CCM) Ayubu Noah, akizungumza kwenye hafla ya kata hiyo ya Ihanja, kukabdhiwa ili wauendeleze mradi wa ushiriki wa wanaume katika afya ya uzazi ni chanzo cha mabadiliko katika afya ya mama na mtoto.Kulia ni Afisa tathimini na ufuatiliaji TMEP, George Mutasingwa John na kushoto ni Afisa wa shirika la HAPA, Joseph Mnyambi.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WAKAZI wa vijijini tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoani Singida,wamehimizwa kujenga utamaduni wa kuendeleza miradi...