KIWANDA CHA KONYAGI CHAZINDUA KINYWAJI CHA ZANZI CHENYE LADHA ZA CHOCOLATE NA KAHAWA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi Tanzania (TDL), David Mgwassa (katikati), akiwa Meneja Masoko wa kiwanda hicho, Joseph Chibehe (kushoto) na Meneja Bidhaa wa TDL, Warda Kimaro wakionesha vinywaji vipya aina ya Zanzi Chocolate (ladha ya Chokoleti) na Zanzi Cappuccino (ladha ya kahawa) wakati wa uzinduzi wa wa vinywaji hivyo uliofanyika katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam.
Mgwassa akielezea ubora wa vinywaji hivyo.
Meneja Masoko wa TDL, Joseph Chibehe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Kiwanda cha Saruji chazindua mashine
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Polisi wagundua kiwanda cha Konyagi bandia
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YANASA KIWANDA CHA KUTENGENEZA KONYAGI FEKI
10 years ago
Vijimambo24 Oct
WABUNGE WA KAMATI YA UCHUMI VIWANDA NA BIASHARA WATEMBELEA KIWANDA CHA KONYAGI
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Symphorose Mhanza-Mwanamke fundi na mwendesha mitambo pekee kiwanda cha Konyagi
Bi. Symphorose Mhanza akiwa kazini katika kiwanda cha konyagi.
Ukifika katika kiwada cha Konyangi kilichopo eneo la Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kumkuta Bi.Symphorose Mhanza akiwa mitamboni huwezi kuamini kama ni mwanamke kutokana na anavyomudu kazi yake ya ufundi na uendeshaji mitambo.
Symphorose anasema kuwa japo kazi hii inaonekana kuwa ngumu kwa kuwa kuna wakati inabidi kutumia nguvu nyingi kama ilivyo desturi ya kazi za ufundi lakini ameizoea na anaipenda.
“Naipenda sana kazi...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mgogoro Kiwanda cha kahawa Moshi wafukuta
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Kiwanda cha kahawa chatengewa Sh52 milioni
9 years ago
StarTV09 Sep
CCM ya ahidi kujenga kiwanda cha kusindika kahawa na mahindi.
Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan ameahidi kujengwa kiwanda cha kusindika kahawa na mahindi kwa wakulima wa mazao hayo akiwataka kufanya maamuzi ya kumchagua mgombea Urais kupitia chama hicho Dokta John Magufuli ili aweze kukamilisha mpango huo.
Mgombea Mwenza huyo ambaye amemaliza ziara mkoani Ruvuma na kuelekea Pwani amesema hakuna sababu ya wakulima wa mazao hayo kuhangaikia soko wakati kuna uwezekano wa kuyafanya mazao hayo kuwa na thamani...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s72-c/IMG-20141019-WA0006.jpg)
NEWS ALERT: MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO MUDA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s1600/IMG-20141019-WA0006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kQaROm3WVhA/VENiP3PKRhI/AAAAAAAAOjY/5nZuLpIjRZc/s1600/IMG-20141019-WA0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YuGzhkVBckM/VENiUWVZJXI/AAAAAAAAOjw/sFdV56-EUNM/s1600/IMG-20141019-WA0009.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jpGrIUAgCOo/VENwGcLI67I/AAAAAAAAOnk/6w2U9MByyoY/s1600/IMG-20141019-WA0012.jpg)