Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WABUNGE WA KAMATI YA UCHUMI VIWANDA NA BIASHARA WATEMBELEA KIWANDA CHA KONYAGI

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'KONYAGI' Bw. David Mgwassa wa pili kulia akiwaongoza wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara kutembelea kiwanda hicho kilichopo Dar es salaamMkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'KONYAGI' Bw. David Mgwassa kushoto akifafanua jambo mbele ya wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara walipotembelea kiwanda hicho kilichopo Dar es salaamOfisa wa Kampuni ya Konyagi Bw, Alex Sanamba kulia...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMATI YA BUNGE YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA YAIMWAGIA SIFA PPF ‏

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio (wa kwanza Kushoto) akiongea na wabunge wa Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara wakati wabunge hao walipotembelea Banda la PPF katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea Kufanyika katika Viwanja Vya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam.Katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mh Luhoga J Mpina.
 Wabunge wa Kamati ya Uchumi,...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA MKOANI MBEYA

 Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akizungumza, mmoja waviongozi wa kampuni ya Marmo and Garnito Mines wakati alipokuwa kwenye ziara ya viwanda mkoani mbeya hivi karibuni. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,Janet Mbene,akiangalia  baadhi ya bidhaa zilizotengenezwa na kampuni ya Marmo and Garnito Mines kwa ajili ya matumizi mbalimbali  Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara , Janet Mbene, akitembelea sehemu ya kiwanda cha Marmo anda Granito Mines.

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA YAIWAGIA SIFA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KWA HUDUMA NZURI ZINAZOTOLEWA NA MFUKO HUO

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio (wa kwanza Kushoto) akiongea na wabunge wa Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara wakati wabunge hao walipotembelea Banda la PPF katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea Kufanyika katika Viwanja Vya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam.Katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mh Luhoga J Mpina. Wabunge wa Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara wakisikiliza maelezo kuhusiana na huduma mbalimbali...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kamati ya fedha, biashara na kilimo ya baraza la wawakilishi Zanzibar yatembelea kiwanda cha Sukari Mahonda

DSC_1105

Muonekano wa Kiwanda cha Sukari Mahonda kilivyo hivi sasa.

DSC_1109

Mshauri muelekezi wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Dk. Hamza Hussein Sabri (alie simama) akitoa maelezo na changamoto wanazozipata Kiwandani hapo, kwa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi walipoenda kutembelea Kiwanda hapo.

DSC_1134

Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi Hija Hassan Hija akizunguza na uongozi wa Kiwanda cha Sukari na viongozi wa Wizara ya Biashara, Viwanda na...

 

10 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA KONYAGI CHAZINDUA KINYWAJI CHA ZANZI CHENYE LADHA ZA CHOCOLATE NA KAHAWA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi Tanzania (TDL), David Mgwassa (katikati), akiwa Meneja Masoko wa kiwanda hicho, Joseph Chibehe (kushoto) na Meneja Bidhaa wa TDL, Warda Kimaro wakionesha vinywaji vipya aina ya Zanzi Chocolate  (ladha ya Chokoleti) na Zanzi Cappuccino (ladha ya kahawa) wakati wa uzinduzi wa  wa vinywaji hivyo uliofanyika katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam.
 Mgwassa akielezea ubora wa vinywaji hivyo.
 Meneja Masoko wa TDL, Joseph Chibehe...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi wagundua kiwanda cha Konyagi bandia

Yadaiwa ni cha mafundi magari, mkulima, mwendesha bodaboda na mfanyabiashara.

 

11 years ago

Michuzi

POLISI KILIMANJARO YANASA KIWANDA CHA KUTENGENEZA KONYAGI FEKI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro Robert Boaz akitizama sehemu ya mbele ya kiwanda cha kutengenezea Konyagi feki ambapo muonekano wake ni maduka na saloon. Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Robert Boaz akitembelea sehemu ya nyuma ya kiwanda cha kutengeneza Konyagi feki katika eneo la kambi ya raha Bomang'ombe wilayani Hai. Sehemu ya bidhaa zilizokamatwa katika kiwanda hicho zikiwa kituo cha polisi Bomang'ombe. Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro Robert Boaz akionesha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Symphorose Mhanza-Mwanamke fundi na mwendesha mitambo pekee kiwanda cha Konyagi

symphorose  pict 1

Bi. Symphorose Mhanza akiwa kazini katika kiwanda cha konyagi.

Ukifika katika kiwada cha Konyangi kilichopo eneo la Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kumkuta Bi.Symphorose Mhanza akiwa mitamboni huwezi kuamini kama ni mwanamke kutokana na anavyomudu kazi yake ya ufundi na uendeshaji mitambo.

Symphorose anasema kuwa japo kazi hii inaonekana kuwa ngumu kwa kuwa kuna wakati inabidi kutumia nguvu nyingi kama ilivyo desturi ya kazi za ufundi lakini ameizoea  na anaipenda.

“Naipenda sana kazi...

 

10 years ago

Michuzi

WAKULIMA WA ZAO LA SHAYIRI WATEMBELEA KIWANDA CHA KIMEA CHA TBLMOSHI

 MENEJA wa Kiwanda cha Kimea - Moshi, Vitus Mhus akiwaonyesha hatua ya kwanza ya zao la Shayiri linalotumika kutengenezea kimea mahali linapopokelewa kabla ya kuanza kuingizwa kiwandani.Wakulima hao kutoka Vyama Nane vya Ushirika vya wilaya ya Karatu na Monduli mkoani Arusha walitembelea kiwandani hapo hapo juzi ili kujifunza na kujionea zao wanalolima linaandaliwa vipi hadi kutengeneza Kimea  wakulima wa zao la Shayiri kutoka Vyama Nane vya Ushirka vya wilaya ya Karatu na Monduli mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani