Kiwanda cha Saruji chazindua mashine
Kampuni ya Saruji ya Mbeya, Mbeya Cement Lafarge Tanzania imezindua mashine ya kisasa ya kunyonya vumbi ambayo itapunguza vumbi linalotoka wakati wa uzalishaji hadi kufikia miligram 10 kiasi, ambacho ni kidogo kuliko kiwango kilichowekwa na taasisi ya kanuni za mazingira nchini ya miligram 50/nm3.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKIWANDA CHA KONYAGI CHAZINDUA KINYWAJI CHA ZANZI CHENYE LADHA ZA CHOCOLATE NA KAHAWA
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8rejwR8k0po/VhqEdWpI9gI/AAAAAAABiYQ/N9i1M5evYIc/s72-c/d33.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-8rejwR8k0po/VhqEdWpI9gI/AAAAAAABiYQ/N9i1M5evYIc/s640/d33.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4snKqieOKWw/VhqEg43dpbI/AAAAAAABiYg/MhXTRSV9FjY/s640/d37.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yle9ZS2bWK0/VhqEhcUADFI/AAAAAAABiYk/ICvvfEssU2A/s640/d38.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IwHPEBopYxA/U27DksqPE9I/AAAAAAAFg6I/LYohN02jGUQ/s72-c/0L7C1290.jpg)
TASWIRA ZA KIWANDA KIKUBWA CHA SARUJI KULIKO VYOTE DUNIANI CHA DANGOTE, NIGERIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IwHPEBopYxA/U27DksqPE9I/AAAAAAAFg6I/LYohN02jGUQ/s1600/0L7C1290.jpg)
Kwa sasa Kiwanda hicho kinazalisha tani za kimetriki milioni 10.25 kwa mwaka na hivyo kukifanya kiwanda hicho kuwa kiwanda kikubwa zaidi cha saruji duniani kilichoko katika eneo moja.
Baada ya upanuzi unaoendelea kufanywa kwenye kiwanda hicho, uwezo wake wa uzalishaji...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWQF2jQKTZs/VhqUBmgs62I/AAAAAAAH-oU/EAprUXjvn0w/s72-c/d38.jpg)
JK alipozindua kiwanda cha saruji cha Dangote Mtwara
![](http://3.bp.blogspot.com/-JWQF2jQKTZs/VhqUBmgs62I/AAAAAAAH-oU/EAprUXjvn0w/s640/d38.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p6Xy6oDrwhs/VhqUCP-nGxI/AAAAAAAH-ok/ssdM7yhkYpQ/s640/d39.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ya45v6hxqjk/VhqUfJBOYFI/AAAAAAAH-o4/bUjwYoTKzTw/s640/d40.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WQDPNXgfpoc/VhqUbUd5jAI/AAAAAAAH-ow/pfcFWg0JuoQ/s640/d41.jpg)
11 years ago
Habarileo12 May
Manufaa ya mwekezaji wa kiwanda cha saruji Mtwara
RAIS Jakaya Kikwete amejionea manufaa wanayopata wananchi waliozunguka kiwanda kikubwa cha saruji duniani, ikiwemo kujengewa nyumba, kupata huduma za uhakika za umeme, maji na vijana wao kupelekwa shule.
10 years ago
Habarileo28 Aug
Kiwanda cha Dangote kuzalisha saruji mwakani
KIWANDA cha saruji cha Kampuni ya Dangote, kinachojengwa mkoani Mtwara kinatarajia kukamilika ujenzi wake na kuanza uzalishaji wa saruji mwishoni mwa mwaka 2015, ambapo mwekezaji wake, raia wa Nigeria, Aliko Dangote, amesema kiwanda hicho kitakuwa moja ya viwanda bora duniani.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Kiwanda hiki cha saruji kiko Mbeya?
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LRI-evpm1pc/U26XVieccPI/AAAAAAAFgxY/PK79krwc3C8/s72-c/d10.jpg)
Rais Kikwete atembelea kiwanda cha saruji kikubwa zaidi duniani
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRI-evpm1pc/U26XVieccPI/AAAAAAAFgxY/PK79krwc3C8/s1600/d10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qd_QfHUJoX8/U26XVm03xuI/AAAAAAAFgxc/2e1l1MBB4A0/s1600/d12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h2dm3PqH7OE/U26XVRHi1II/AAAAAAAFgxU/X9Vd4uI2UyM/s1600/d16.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0WKQNQmes7A/U26XZKLB-hI/AAAAAAAFgxs/PvBc5NL3jJs/s1600/d17.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 May
Rais Kikwete atembelea kiwanda kikubwa zaidi cha saruji duniani
. Ni kile kinachomilikiwa na mwekezaji anayejenga kiwanda cha saruji Mtwara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10