JK alipozindua kiwanda cha saruji cha Dangote Mtwara
![](http://3.bp.blogspot.com/-JWQF2jQKTZs/VhqUBmgs62I/AAAAAAAH-oU/EAprUXjvn0w/s72-c/d38.jpg)
Rais Kikwete akikata utepe katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
Rais Kikwete akifunua pazia katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
Rais Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha wageni katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8rejwR8k0po/VhqEdWpI9gI/AAAAAAABiYQ/N9i1M5evYIc/s72-c/d33.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-8rejwR8k0po/VhqEdWpI9gI/AAAAAAABiYQ/N9i1M5evYIc/s640/d33.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4snKqieOKWw/VhqEg43dpbI/AAAAAAABiYg/MhXTRSV9FjY/s640/d37.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yle9ZS2bWK0/VhqEhcUADFI/AAAAAAABiYk/ICvvfEssU2A/s640/d38.jpg)
10 years ago
CloudsFM27 Nov
BILIONEA DANGOTE AKAGUA UJENZI WA KIWANDA CHAKE CHA SARUJI MTWARA
Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Industries Group), mfanyabiashara maarufu Afrika, Alhaji Aliko Dangote akitumia gari kukagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda chake kikubwa cha saruji katika Kijiji cha Msijute, mkoani Mtwara leo.
Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Industries Group), mfanyabiashara maarufu Afrika, Alhaji Aliko Dangote (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Dangote nchini, Esther Baruti kwenye Uwanja wa Ndege...
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
DANGOTE akagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda chake kikubwa cha Saruji Mtwara
Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Group of Industries), Alhaji Aliko Dangote (kulia) mfanyabiashara maarufu kutoka Nigeria, akiteremka kwenye ndege alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mtwara, kwenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha saruji kinachojengwa mkoani humo.,
Dangote akilakiwa na Mwakilishi Mkazi wa kampuni hiyo nchini, Esther Baruti (kushoto)
Dangote akisalimiana na Balozi Mdogo wa Nigeria nchini, Adamu Mussa
Dangote...
10 years ago
MichuziBILIONEA DANGOTE AKAGUA TENA UJENZI WA KIWANDA CHAKE CHA SARUJI MTWARA
9 years ago
Dewji Blog20 Sep
Bilionea Dangote akagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda chake cha Saruji Mtwara
Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Dangote, Alhaj Aliko Dangote (aliyesimama katikati), akizungumza na maofisa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara ya Mambo y Nje, Viwanda na Biashara na Masoko, Kituo cha Uwekezaji Tanznia (TIC) na taasisi mbalimbali za serikali, walipokutana na Mtendaji huyo mkoani Mtwara jana kujadili kuhusu uzinduzi wa kiwanda hicho kikubwa cha simenti.
Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Dangote, Alhaj Aliko Dangote (kushoto), akiwasikiliza kwa makini maofisa...
9 years ago
GPLBILIONEA DANGOTE AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA KIWANDA CHAKE CHA SARUJI MTWARA
10 years ago
VijimamboBILIONEA ALHAJ ALIKO DANGOTE ATEMBELEA KIWANDA CHAKE MTWARA, NI KILE CHA KUZALISHA SARUJI
mfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8, 2015. - See more at: http://www.raiamwema.co.tz/saruji-ya-dangote-kushusha-bei#sthash.KvYcDSfE.dpufmfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IwHPEBopYxA/U27DksqPE9I/AAAAAAAFg6I/LYohN02jGUQ/s72-c/0L7C1290.jpg)
TASWIRA ZA KIWANDA KIKUBWA CHA SARUJI KULIKO VYOTE DUNIANI CHA DANGOTE, NIGERIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IwHPEBopYxA/U27DksqPE9I/AAAAAAAFg6I/LYohN02jGUQ/s1600/0L7C1290.jpg)
Kwa sasa Kiwanda hicho kinazalisha tani za kimetriki milioni 10.25 kwa mwaka na hivyo kukifanya kiwanda hicho kuwa kiwanda kikubwa zaidi cha saruji duniani kilichoko katika eneo moja.
Baada ya upanuzi unaoendelea kufanywa kwenye kiwanda hicho, uwezo wake wa uzalishaji...
10 years ago
Habarileo28 Aug
Kiwanda cha Dangote kuzalisha saruji mwakani
KIWANDA cha saruji cha Kampuni ya Dangote, kinachojengwa mkoani Mtwara kinatarajia kukamilika ujenzi wake na kuanza uzalishaji wa saruji mwishoni mwa mwaka 2015, ambapo mwekezaji wake, raia wa Nigeria, Aliko Dangote, amesema kiwanda hicho kitakuwa moja ya viwanda bora duniani.