AISHA MADINDA; KUTOKA KIGOMA, UHOLANZI, DUBAI HADI KIFO!
![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIuXPv1DFnzacqC4U*CWVZ3EtBQyd85KnySlSNlXRAW5Qa2PUgB2qNB*ITuEnOHi3qZ6Y7fNuD306waEp-yVpXAv/aishaaa.jpg)
Aisha Madinda akiwa na mkurugenzi wa ASET Asha Baraka. Makala: Sifael Paul na Gladness Mallya Amekwenda mapema mno! Siku ya Desemba 17, mwaka huu haikuwa poa hata kidogo kwenye tasnia ya muziki wa dansi Bongo katika kipengele cha unenguaji. Chumba chetu cha habari cha Global Publishers kinachofanya kazi kwa karibu na mastaa Bongo kilipata mshtuko wa aina yake. Zilikuwa ni habari mbaya za kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5AvHnRkKe3-aWYbVWCkbembUiUsOc*opJ5sWkU6JVqIVtNmKaBklIVTrz*sm02ZkNDHwJKoZKDHUdnfdlknGnIx/MADINDA.jpg)
MSIBA WAMSOTESHA AISHA MADINDA DUBAI
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Polisi wazuia mazishi ya Aisha Madinda hadi kesho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZKseYToqi4QQzEImhNfKqLjiDMF9JXKEM9Zu*iBAYSYUoBtmaoNIcriSaNTV1QaElN8VdjNvlISiReRjJIXbP9/MADINDA.jpg?width=650)
MANENO YA MWISHO YA AISHA MADINDA ALIKIONA KIFO CHAKE
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s72-c/IMG_1612.jpg)
Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s1600/IMG_1612.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfYyjXCDxjVFBsExdaEL8aAGy4GFohcAVfnucCwVzKRKjtSYLIphDA0fLsOePVSldtIu4a79WxPdbnCO9VJEQznO/MSIBA.jpg?width=650)
TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA AISHA MADINDA, KIGAMBONI JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LtxGrrmaxHlsrpt3PHGBJvNedT0loTFwJ0Iyse8-QdvFuIRbF3IWa1f0SlXd2rt49LSrY89XG4o8BsskYdSmlUW/breakingnews.gif)
AISHA MADINDA AFARIKI DUNIA
10 years ago
CloudsFM18 Dec
AISHA MADINDA KUZIKWA LEO
Aliyekuwa mnenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta na Extra Bongo,marehemu Aisha Madinda anatarajiwa kuzikwa leo nyumbani kwao Kigamboni,jijini Dar.
Hapa Aisha akiwa na watoto wake enzi ya uhai wake.
Kwa mujibu wa mtoto wake wa kwanza aitwaye Faisal Madinda alisema kuwa asubuhi wako katika hospitali ya Mwananyamala kuuandaa mwili wa marehemu na baadaye wataupeleka nyumbani kwao maeneo ya Kigamboni na atazikwa leo saa kumi jioni.
10 years ago
CloudsFM19 Dec
Lala salama Aisha Madinda
Jeneza likiwa tayari kusubiri mwili wa marehemu Aisha Madinda msibani maeneo ya Kigamboni,jijini Dar.