TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA AISHA MADINDA, KIGAMBONI JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfYyjXCDxjVFBsExdaEL8aAGy4GFohcAVfnucCwVzKRKjtSYLIphDA0fLsOePVSldtIu4a79WxPdbnCO9VJEQznO/MSIBA.jpg?width=650)
Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu Aisha Madinda, Kigamboni jijini Dar leo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZL-5BJ0OPbb3STk6edKQM-Lq3zfyCvyCw8m1IaHfOOHdLDss96bNV8mEl5WkHFdEFu-0tTAK*9hEGqAKRMWElr/mazikoaisha1.jpg)
MWILI WA AISHA MADINDA WAZIKWA MAKABURI YA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
Maziko ya mwili wa marehemu Aisha Madinda yakifanyika katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jioni hii. Mwili wa Aisha Madinda ukishushwa kaburini.…
10 years ago
GPLAISHA MADINDA KUZIKWA KESHO JIJINI DAR
Aisha Madinda - enzi za uhai wake alipokuwa stejini. ALIYEKUWA mnenguaji na mwimbaji wa Bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda aliyefariki jana asubuhi, atazikwa kesho mchana badala ya leo kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali. Mtoto wa kwanza marehemu, Feisal amesema kuwa polisi wamesema ni lazima mwili wa mama yake ufanyiwe upasuaji (postmortem) ili kujua chanzo cha kifo chake. Awali ndugu wa marehemu walisema hawahitaji Asha...
10 years ago
MichuziAISHA MADINDA AZIKWA LEO KIBADA,KIGAMBONI
WAKURUGENZI wa bendi hasimu za dansi Tanzania, African Stars, Asha Baraka na Extra Bongo, Ali Choki, leo wameongoza mamia ya waombolezaji kumzika aliyekuwa mnenguaji wa zamani wa bendi hizo, Aisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’.
Mazishi ya Aisha Madinda yamefanyika leo kwenye Makaburi ya Kijiji cha Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kukwama kufanyika jana kutokana na zuio la Jeshi la Polisi, kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo.
Baada ya uchunguzi...
Mazishi ya Aisha Madinda yamefanyika leo kwenye Makaburi ya Kijiji cha Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kukwama kufanyika jana kutokana na zuio la Jeshi la Polisi, kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo.
Baada ya uchunguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s72-c/IMG_1612.jpg)
Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s1600/IMG_1612.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi0PKR*0rfqBkQIeaQld0euM2x7*j-vgrvoHf5LpRbN1h6w9ovfVixvQP3zqDTNp5kD*7uZncUh*Tq5jD-KMAtI7/MSIBASMALL3.jpg?width=650)
TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA MZEE SMALL
Waombolezaji wakiwa na simanzi nyumbani kwa marehemu Said Ngamba 'Mzee Small' aliyefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa jijini Dar es Salaam. Dada ya marehemu Mzee Small, Sauda Ngamba akiwa na majonzi baada ya kuondokewa na kaka yake.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIuXPv1DFnzacqC4U*CWVZ3EtBQyd85KnySlSNlXRAW5Qa2PUgB2qNB*ITuEnOHi3qZ6Y7fNuD306waEp-yVpXAv/aishaaa.jpg)
AISHA MADINDA; KUTOKA KIGOMA, UHOLANZI, DUBAI HADI KIFO!
Aisha Madinda akiwa na mkurugenzi wa ASET Asha Baraka.
Makala: Sifael Paul na Gladness Mallya Amekwenda mapema mno! Siku ya Desemba 17, mwaka huu haikuwa poa hata kidogo kwenye tasnia ya muziki wa dansi Bongo katika kipengele cha unenguaji.
Chumba chetu cha habari cha Global Publishers kinachofanya kazi kwa karibu na mastaa Bongo kilipata mshtuko wa aina yake. Zilikuwa ni habari mbaya za kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei...
10 years ago
TheCitizen19 Dec
OUT&ABOUT: Aisha Madinda dies in Dar
>She was the toast of town in 2000s as she swept fans off their feet during her spell as a queen dancer with the African Stars aka Twanga Pepeta.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Pumzika kwa amani mnenguaji Aisha Madinda
Jumatano hii iliyopita, mmoja kati ya wanenguaji waliokuwa nguzo ya Bendi ya The African Stars Band, hasa katika safu ya unenguaji, Aisha Mohamed Mbegu `Madinda’ alifariki dunia.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vo9EGgQ9N6Y/VkNWCJb_8OI/AAAAAAAIFVc/QWrpnS8WHd0/s72-c/MMGL0012.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania