Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twiga Stars yafuzu kwa kipigo

Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imefuzu kushiriki Michezo ya Afrika mwezi Septemba nchini Congo-Brazaville licha ya kufungwa na Zambia (She-polopolo) kwa mabao 3-2 katika mchezo mkali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Twiga Stars yafuzu michezo Afrika

MSHAMU NGOJWIKE NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, jana ilifuzu kwa mbinde fainali za Michezo ya Afrika ‘All African Games’ baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’.
Licha ya kipigo hicho, Twiga Stars imenufaika na ushindi wa mabao 4-2 iliyoupata kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Lusaka, Zambia na hivyo kufuzu kwa jumla ya mabao 6-5.
Fainali za michuano hiyo zimepangwa kufanyika Congo, Brazzaville...

 

10 years ago

GPL

Twiga Stars yapigwa, yafuzu All Africa Games

Wachezaji wa Twiga Stars wakishangilia goli.
Na Ibrahim Mussa, Dar es Salaam
TWIGA Stars imefuzu kushiriki Michezo ya Afrika ‘All African Games’ itakayofanyika Congo Brazzaville, Septemba mwaka huu, licha ya kufungwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’ jana Ijumaa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hiyo imefuzu kwa jumla ya mabao 6-5, kwani katika mchezo wa awali nchini Zambia, Twiga ilishinda...

 

9 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yatupwa kwa Zimbabwe

 Timu ya Taifa ya wanawake Tanzania 'Twiga Stars itaanza harakati zake za kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika 2016, Cameroon kwa kucheza dhidi ya Zimbabwe mwakani.

 

9 years ago

Michuzi

STARS YAFUZU HATUA YA PILI

TANZANIA imetimiza ndoto za kutinga hatua ya mwisho ya mchujo kuwania kupangwa kwenye makundi ya kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia, licha ya kufungwa 1-0 na Malawi jioni ya leo katika Uwanja wa Kamuzu mjini Blantyre.

Tanzania inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1, baada ya Jumatano kushinda 2-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza wa hatua ya kwanza ya mchujo.

Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa wa Angola, Martins de Carlvalho aliyesaidiwa na Gadzikwa...

 

11 years ago

Michuzi

TWIGA STARS YALALA 2-1 KWA ZAMBIA LEO JIJINI LUSAKA

Twiga Stars imepoteza mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) baada ya leo kufungwa mabao 2-1 na Zambia (Shepolopolo) kwenye Uwanja wa Nkoloma jijini Lusaka.
Hadi dakika 45 za kwanza zinamalizika katika mechi hiyo iliyochezeshwa na mwamuzi Salma Mukansanga timu hizo zilikuwa suluhu.
Wenyeji ndiyo walianza kupata bao lililofungwa na Hellen Mubanga dakika ya 75. Mfungaji huyo aliyeingia kipindi cha pili nchini alimalizia wavuni...

 

11 years ago

TheCitizen

Twiga Stars out to down Zambians

>The national women’s soccer team, Twiga Stars, will be seeking a flying start when they take on Zambia’s Shepolopolo in the 2014 Africa Championship preliminary round, first leg qualifier at Nkoloma Stadium.

 

11 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yatolewa

Ndoto ya Tanzania kucheza fainali za Afrika za wanawake mwaka huu zimefutika baada ya Twiga Stars kulazimishwa sare 1-1 na Zambia na hivyo kuondolewa kutolewa kwa jumla ya mabao 3-2 jana kwenye Uwanja Azam Complex.

 

9 years ago

Mwananchi

Twiga Stars kibaruani

Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake, Twiga Stars inalazimika kucheza kufa na kupona leo ili kuhakikisha inapata ushindi dhidi ya Nigeria na kufufua matumaini ya kusonga mbele katika mashindano ya Afrika yanayoendelea Congo Brazzaville.

 

9 years ago

Mwananchi

Stars yarejea kipigo cha 1945

Ni miaka 70 imepita tangu Tanzania ipate kipigo kikubwa katika soka la kimataifa kwa kufungwa mabao 7-0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani