Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twiga Stars yapigwa, yafuzu All Africa Games

Wachezaji wa Twiga Stars wakishangilia goli.
Na Ibrahim Mussa, Dar es Salaam
TWIGA Stars imefuzu kushiriki Michezo ya Afrika ‘All African Games’ itakayofanyika Congo Brazzaville, Septemba mwaka huu, licha ya kufungwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’ jana Ijumaa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hiyo imefuzu kwa jumla ya mabao 6-5, kwani katika mchezo wa awali nchini Zambia, Twiga ilishinda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Twiga Stars, swimmers off to Brazzaville for Africa Games

The second batch of Team Tanzania for the All Africa Games departs for Congo-Brazzaville today.

 

9 years ago

TheCitizen

TZ sports officials still mum over Twiga Stars trip to Africa Games

The national women’s soccer team, Twiga Stars, are in the dark over their departure to Congo-Brazzaville for the 2015 All Africa Games (AAG). The quadrennial African showpiece begins tomorrow with all nations fielding their athletes.

 

10 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yafuzu kwa kipigo

Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imefuzu kushiriki Michezo ya Afrika mwezi Septemba nchini Congo-Brazaville licha ya kufungwa na Zambia (She-polopolo) kwa mabao 3-2 katika mchezo mkali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Twiga Stars yafuzu michezo Afrika

MSHAMU NGOJWIKE NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, jana ilifuzu kwa mbinde fainali za Michezo ya Afrika ‘All African Games’ baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’.
Licha ya kipigo hicho, Twiga Stars imenufaika na ushindi wa mabao 4-2 iliyoupata kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Lusaka, Zambia na hivyo kufuzu kwa jumla ya mabao 6-5.
Fainali za michuano hiyo zimepangwa kufanyika Congo, Brazzaville...

 

9 years ago

TheCitizen

Twiga Stars embark on Games campaign

The national women’s soccer team, Twiga Stars, kick off their 2015 All Africa Games campaign this evening with a date against Cote d’Ivoire at the New Kintele Stadium.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER:Kaijage optimistic Twiga will qualify for All Africa Games

Women’s soccer team, Twiga Stars, head coach Rogasian Kaijage is increasingly confident he has led his side to the promised land--the 2015 All Africa Games (AAG).

 

9 years ago

Dewji Blog

Timu ya Taifa ya wanawake Twiga stars ‘Kimeeleweka’ wapaa Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games)

unnamed (78)Wachezaji wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirikia la Ndege la Tanzania (Air
Tanzania) jana jioni  tayari kwa kuanza
safari ya kuelekea nchini Congo Brazaville kwa ajili ya Mashindano ya Afrika
(All African Games).

unnamed (77) Afisa Michezo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Gordon Nsajigwa akimpatia mmoja wa wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake tiketi  jana jioni tayari kwa safari ya kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games),...

 

9 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa ya wanawake Twiga stars yaondoka kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games)

 Afisa Michezo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Gordon Nsajigwa akimpatia mmoja wa wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake tiketi  jana jioni tayari kwa safari ya kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games), kushoto aliyevaa suti ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo.  Wachezaji wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirikia la Ndege la Tanzania (Air Tanzania) jana jioni  tayari kwa kuanza safari ya...

 

9 years ago

Michuzi

STARS YAFUZU HATUA YA PILI

TANZANIA imetimiza ndoto za kutinga hatua ya mwisho ya mchujo kuwania kupangwa kwenye makundi ya kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia, licha ya kufungwa 1-0 na Malawi jioni ya leo katika Uwanja wa Kamuzu mjini Blantyre.

Tanzania inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1, baada ya Jumatano kushinda 2-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza wa hatua ya kwanza ya mchujo.

Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa wa Angola, Martins de Carlvalho aliyesaidiwa na Gadzikwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani