Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARS YAFUZU HATUA YA PILI

TANZANIA imetimiza ndoto za kutinga hatua ya mwisho ya mchujo kuwania kupangwa kwenye makundi ya kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia, licha ya kufungwa 1-0 na Malawi jioni ya leo katika Uwanja wa Kamuzu mjini Blantyre.

Tanzania inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1, baada ya Jumatano kushinda 2-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza wa hatua ya kwanza ya mchujo.

Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa wa Angola, Martins de Carlvalho aliyesaidiwa na Gadzikwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yafuzu raundi ya pili

Super Eagles ya Nigeria ndiyo timu ya kwanza Afrika katika raundi ya pili

 

10 years ago

Michuzi

DRFA yataja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam

Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimetaja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam,inayotarajia kuanza kutimua vumbi mapema mwezi huu.Katika kundi (A) limepangwa kuwa na timu za Simba U20,Red Coast,Sifa UTD,Shababi,Ukonga UTD,Zakhem,Ugimbi,Beirahotspurs na Pan Africa.Katika kundi (B) litakuwa na timu za Yanga U20,Stakishari,FFU,New Kunduchi,Sinza Stars,Changanyikeni,Tuamoyo,Sifapilitan na Azania Unga.
Ligi hiyo ya mkoa...

 

10 years ago

Mtanzania

Twiga Stars yafuzu michezo Afrika

MSHAMU NGOJWIKE NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, jana ilifuzu kwa mbinde fainali za Michezo ya Afrika ‘All African Games’ baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’.
Licha ya kipigo hicho, Twiga Stars imenufaika na ushindi wa mabao 4-2 iliyoupata kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Lusaka, Zambia na hivyo kufuzu kwa jumla ya mabao 6-5.
Fainali za michuano hiyo zimepangwa kufanyika Congo, Brazzaville...

 

10 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yafuzu kwa kipigo

Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imefuzu kushiriki Michezo ya Afrika mwezi Septemba nchini Congo-Brazaville licha ya kufungwa na Zambia (She-polopolo) kwa mabao 3-2 katika mchezo mkali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

Twiga Stars yapigwa, yafuzu All Africa Games

Wachezaji wa Twiga Stars wakishangilia goli.
Na Ibrahim Mussa, Dar es Salaam
TWIGA Stars imefuzu kushiriki Michezo ya Afrika ‘All African Games’ itakayofanyika Congo Brazzaville, Septemba mwaka huu, licha ya kufungwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’ jana Ijumaa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hiyo imefuzu kwa jumla ya mabao 6-5, kwani katika mchezo wa awali nchini Zambia, Twiga ilishinda...

 

10 years ago

BBCSwahili

James Ward atinga hatua ya pili

Mcheza tenesi namba mbili kwa ubora nchini England James Ward ametinga hatua ya pili ya michuano ya wazi ya (BNP Paribas).

 

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Ikulu mpira wa miguu yatinga hatua ya pili SHIMIWI

01

Wachezaji wa timu ya Ikulu wakiwa pamoja kuomba dua kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya timu ya RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Timu ya mpira wa miguu ya Ikulu imedhihirisha ubora wake katika mashindano ya  Shirikisho la Michezo ya watumishi inayoshirikisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kumaliza mechi nne katika kundi B bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.

Ubora huo unaifanya timu ya Ikulu kuwa ni timu...

 

11 years ago

Dewji Blog

112 wafanikiwa kuingia kwenye hatua ya pili shindano la Tanzania Movie Talents jijini Mwanza

Majaji wa Shindano la Kusaka la Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakijadiliana jambo wakati wa Zoezi la kusaka vipaji vya uigizaji kuingia Hatua ya pili kwa washiriki waliofanikiwa kupita kwenye mchujo.Kulia ni Single Mtambalike (Rich Rich), Ivon Chery (Monalisa) na Roy Sarungi.

Washiriki waliofanikiwa kuingia kwenye hatua ya pili wakifanyiwa usaili kwa ajili ya hatua ya pili sasa.

movie talent

Muongozaji wa Mradi wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Kuigiza...

 

11 years ago

Michuzi

TFF KUWACHUKULIA HATUA ZAIDI WAWILI TWIGA STARS

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linatafakari hatua zaidi za kinidhamu dhidi ya wachezaji wawili wa kikosi cha Twiga Stars walioondolewa kwenye timu hiyo na Kocha Rogasian Kaijage.
Kocha Kaijage aliwatimua kambini wachezaji Mwapewa Mtumwa na Flora Kayanda kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu wakati Twiga Stars ikijiandaa kwa mechi ya marudiano ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia.
Twiga Stars ilipoteza mechi ya kwanza ugenini mabao 2-1 na kutoka sare ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani