TFF KUWACHUKULIA HATUA ZAIDI WAWILI TWIGA STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2ac_PQW-gc/UxXCSkOeUrI/AAAAAAAFRCA/d893qUTNT9s/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linatafakari hatua zaidi za kinidhamu dhidi ya wachezaji wawili wa kikosi cha Twiga Stars walioondolewa kwenye timu hiyo na Kocha Rogasian Kaijage.
Kocha Kaijage aliwatimua kambini wachezaji Mwapewa Mtumwa na Flora Kayanda kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu wakati Twiga Stars ikijiandaa kwa mechi ya marudiano ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia.
Twiga Stars ilipoteza mechi ya kwanza ugenini mabao 2-1 na kutoka sare ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Aug
Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar
WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Ubabaishaji huu TOC, TFF unaiathiri Twiga Stars
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TdubebmHC9M/VT-jSBORwwI/AAAAAAAHT3c/KDRCLlrJTdg/s72-c/001%2B-%2BSports.jpg)
Covenant Bank yawaita TFF, yajitolea Kuwadhamini Twiga Stars.
![](http://2.bp.blogspot.com/-TdubebmHC9M/VT-jSBORwwI/AAAAAAAHT3c/KDRCLlrJTdg/s1600/001%2B-%2BSports.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4fXzEMkrlaI/VT-jjz_nbgI/AAAAAAAHT3s/ghDquZUxR0M/s1600/002%2B-%2Bsports.jpg)
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
IAAF kuwachukulia hatua wanariadha 28
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
TRA kuwachukulia hatua wafanyabiashara
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mwanza, imesema haitasita kuwachukulia hatua za kisheria wafanyabiashara wenye mitaji kuanzia sh. milioni 18 ambao hawatumii mashine za elektroniki (EFD’s) kama ilivyoagizwa na Serikali....
10 years ago
StarTV04 Feb
Serikali kuwachukulia hatua wanaohatarisha amani.
Na Lilian Mtono,
Dar Es Salaam.
Serikali ya Tanzania imesema haitavumilia kuona matukio yanayofanyika kinyume cha sheria na taratibu za nchi yanayolenga kuhatarisha amani bila kuchukua hatua dhidi ya wahusika kwa madai kuwa zinakiuka haki za binadamu.
Imesema kumekuwepo na ongezeko la matukio ya kisiasa yanayofanyika kinyume cha taratibu zinazotakiwa hivyo kuisukuma Serikali kuchukua hatua ambazo baadae hudaiwa kuwa zimevunja haki za binadamu.
Hayo yamebainishwa kwenye viwanja vya...
10 years ago
StarTV03 Dec
Upotevu wa dawa, Serikali kuwachukulia hatua wanaosababisha.
Na Abdallah Tilata,
Mwanza.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Kebwe Steven Kebwe amesema serikali itawachukulia hatua viongozi wa mikoa na wilaya zote nchini watakaoshindwa kudhibiti mianya ya upotevu wa dawa zinazosambazwa katika maeneo yao.
Takwimu zinaonyesha asilimia 40 ya dawa zinazopelekwa katika hospitali mbalimbali nchini zinafikia kwenye mikono isiyo salama hali inayoendelea kuigharimu serikali kuagiza dawa nje ya nchi.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Mkemia Mkuu wa Serikali kuwachukulia hatua wadau wasiosajiliwa
Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele. (Picha na Maktaba).
Na Beatrice Lyimo, Maelezo
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuwaelimisha wadau wa uuzaji na usafirishaji kuhusiana na usimamizi wa kemikali hatari na...
10 years ago
StarTV10 Jan
Awamu ya tatu TASAF, Serikali kuwachukulia hatua wenye ubinafsi.
Na Richard Katunka,
Kigoma.
Serikali inakusudia kuchukua hatua kali dhidi ya watu wanaotajwa kuvuruga mpango wa TASAF awamu ya Tatu kwa maslahi yao binafsi.
Katika mafunzo maalumu kwa viongozi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma juu ya utekelezaji wa malengo ya TASAF awamu ya tatu, Mkuu wa Wilaya hiyo Danny Makanga amesema zipo taarifa za baadhi ya wanasiasa wakishirikiana na watendaji wasio waaminifu kutaka kuvuruga zoezi hilo kwa maslahi yao binafsi.
Ikiwa ni mwaka mmoja tangu...