Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar
WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N2ac_PQW-gc/UxXCSkOeUrI/AAAAAAAFRCA/d893qUTNT9s/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TFF KUWACHUKULIA HATUA ZAIDI WAWILI TWIGA STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2ac_PQW-gc/UxXCSkOeUrI/AAAAAAAFRCA/d893qUTNT9s/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Kocha Kaijage aliwatimua kambini wachezaji Mwapewa Mtumwa na Flora Kayanda kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu wakati Twiga Stars ikijiandaa kwa mechi ya marudiano ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia.
Twiga Stars ilipoteza mechi ya kwanza ugenini mabao 2-1 na kutoka sare ya...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Ubabaishaji huu TOC, TFF unaiathiri Twiga Stars
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TdubebmHC9M/VT-jSBORwwI/AAAAAAAHT3c/KDRCLlrJTdg/s72-c/001%2B-%2BSports.jpg)
Covenant Bank yawaita TFF, yajitolea Kuwadhamini Twiga Stars.
![](http://2.bp.blogspot.com/-TdubebmHC9M/VT-jSBORwwI/AAAAAAAHT3c/KDRCLlrJTdg/s1600/001%2B-%2BSports.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4fXzEMkrlaI/VT-jjz_nbgI/AAAAAAAHT3s/ghDquZUxR0M/s1600/002%2B-%2Bsports.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Aug
Twiga Stars yaenda Zanzibar
TIMU ya taifa ya soka ya Wanawake, ‘Twiga Stars’ imeondoka jana kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na fainali za michezo ya Matifa Afrika ‘All African Games’ zinatarajiwa kufanyika Congo Brazzaville Septemba mwaka huu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aNYZHU1S6QU/VcS3CWezBWI/AAAAAAAHvGw/US1RJBXmAKA/s72-c/thumb_IMG_6850_1024.jpg)
TWIGA STARS YAELEKEA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-aNYZHU1S6QU/VcS3CWezBWI/AAAAAAAHvGw/US1RJBXmAKA/s640/thumb_IMG_6850_1024.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kA5_JFqxxXM/VcS3DVqnqxI/AAAAAAAHvHA/gQU-DFBwCCc/s640/thumb_IMG_6874_1024.jpg)
Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) kimeodoka leo saa 6 mchana jijini Dar es salaam kuelekea kisiwani Zanzibari, ambapo kitaweka kambi ya mwezi mmoja kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) mwezi Septemba.
Msafara wa Twiga Stars umeondoka na boti ya Azam (Kilimanjaro) ukiwa na watu 32, wakiwemo wachezaji 25, benchi la ufundi 6 pamoja na kiongozi wa msafara, ambapo TFF imegharamia kambi hiyo...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kambi Twiga Stars Zanzibar yayeyuka
KAMBI ya timu ya soka ya Taifa ya wanawake Twiga Stars iliyokuwa iwekwe Zanzibar tangu jana, imeyeyuka.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aNYZHU1S6QU/VcS3CWezBWI/AAAAAAAHvGw/US1RJBXmAKA/s72-c/thumb_IMG_6850_1024.jpg)
TIMU YA TWIGA STARS YAELEKEA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-aNYZHU1S6QU/VcS3CWezBWI/AAAAAAAHvGw/US1RJBXmAKA/s640/thumb_IMG_6850_1024.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kA5_JFqxxXM/VcS3DVqnqxI/AAAAAAAHvHA/gQU-DFBwCCc/s640/thumb_IMG_6874_1024.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Aug
Twiga Stars kuingia kambini Zanzibar leo
TIMU ya Taifa Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar kujiandaa na Michezo ya Afrika (All Africa Games) itakayofanyika mwezi ujao nchini Congo Brazzaville.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Nooij kuipeleka Stars AFCON