Nooij kuipeleka Stars AFCON
Kocha mpya wa Taifa Stars, Martinus Ignatinus ‘Mart’ Nooij raia wa Uholanzi amesema kazi yake kubwa atakayoanza nayo ni kuhakikisha Stars inafuzu kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika 2015 pamoja mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2016.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen21 Jun
AFCON: Here is Nooij’s squad for Taifa Stars clash with Mozambique
Shomari Kapombe, Mrisho Ngasa and Kelvin Yondani are the other regulars in Nooij’s 26-man squad that also includes Amri Kiemba, Erasto Nyoni, Ramadhan Singano, Said Morad and Ramadhan Singano.
10 years ago
Habarileo02 Aug
Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar
WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi19 Jan
AFCON: Nooij asema Ubingwa kwa Ivory Coast, Senegal
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’, Mart Nooij amezitaja Senegal na Ivory Coast kuwa ni timu zenye nafasi kubwa ya kutwaa taji la Mataifa Afrika (Afcon), zilizoanza kutimua vumbi juzi, Equatorial Guinea
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Nooij aita tisa Stars
>Baada ya kuishudia Taifa Stars ikicheza kiwango kibovu na kunyukwa 3-0 na Burundi Jumamosi kocha mpya wa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi itakayochezwa Mei 4, kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
10 years ago
Vijimambo07 Nov
Nooij amrejesha Mtiro Taifa Stars
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nooij-November6-2014.jpg)
Beki wa zamani wa Yanga na African Lyon, Aboubakar Mtiro, ambaye sasa anaichezea Kagera Sugar, ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa (Taifa Stars) ambacho kitaingia kambini Jumatatu Novemba 10 kwa ajili ya kuelekea Swaziland kuwakabili wenyeji hao kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa.
Mtiro (29), ameitwa na Kocha Mkuu wa Stars, Mholanzi Mart Nooij ikiwa ni miaka nane imepita tangu aiitwe kuichezea Stars wakati huo ikinolewa na Mbrazil Marcio Maximo.
Kwa mara ya mwisho...
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mechi ya lawama kwa Nooij, Stars
Dar es Salaam. Ni mtihani wa kwanza kwa kocha Martin Ignatius Nooij anapoanza safari ndefu na ngumu ya kulinda au kupoteza kibarua chake akiwa na kikosi cha Stars.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74471000/jpg/_74471354_96053817.jpg)
Nooij takes over Tanzania's Taifa Stars
Dutchman Mart Nooij is appointed as head coach of Tanzania's national team, the Taifa Stars on a two year contract.
10 years ago
TheCitizen05 May
SOCCER: Nooij: Cosafa will shape Stars
>Taifa Stars head coach Mart Nooij believes that the Cosafa Cup will help shape up the national team ahead of the 2016 Champions of African Nations (Chan) and 2017 Africa Cup of Nations (Afcon) qualifiers.
11 years ago
TheCitizen01 Aug
Nooij: A big mistake to write Stars off
The national soccer team, Taifa Stars, head coach, Mart Nooij, believes that his team should not be written off from making it to the group stage of the Africa Cup of Nations (Afcon) qualifiers.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania