Nooij: A big mistake to write Stars off
The national soccer team, Taifa Stars, head coach, Mart Nooij, believes that his team should not be written off from making it to the group stage of the Africa Cup of Nations (Afcon) qualifiers.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mirror Online31 Mar
Philippe Coutinho's first and last Liverpool XIs shows how big his mistake was
Philippe Coutinho's first and last Liverpool XIs shows how big his mistake was Mirror OnlineWhat Philippe Coutinho has told friends about leaving Liverpool for Barcelona ExpressArsenal handed potential transfer boost as Liverpool decide not to pursue Brazilian star Just Arsenal NewsPhilippe Coutinho's private admission to friends proves Jurgen Klopp was right all along Mirror OnlineMan Utd may be about to make odd signing - but it would please the Glazers ExpressView Full coverage on...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Nooij kuipeleka Stars AFCON
Kocha mpya wa Taifa Stars, Martinus Ignatinus ‘Mart’ Nooij raia wa Uholanzi amesema kazi yake kubwa atakayoanza nayo ni kuhakikisha Stars inafuzu kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika 2015 pamoja mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2016.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Nooij aita tisa Stars
>Baada ya kuishudia Taifa Stars ikicheza kiwango kibovu na kunyukwa 3-0 na Burundi Jumamosi kocha mpya wa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi itakayochezwa Mei 4, kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yp9S7eiPnLVllWmEXloqsQSYEFVvNmPWKomgIX6A6DXjw3jMeheCWAwtvSTUmJ*0K3B-GDtwHEpM9Xxmmy*RfS/taifa.jpg?width=600)
Nooij aongeza tisa Taifa Stars
Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij. Na Mwandishi Wetu
KOCHA mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij, ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Taarifa aliyoituma jana Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Wambura, inasema wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74471000/jpg/_74471354_96053817.jpg)
Nooij takes over Tanzania's Taifa Stars
Dutchman Mart Nooij is appointed as head coach of Tanzania's national team, the Taifa Stars on a two year contract.
10 years ago
TheCitizen31 Oct
Nooij unveils young Taifa Stars
>A 29-player national team’s second string side has been unveiled by head coach Mart Nooij. All of them are aged below 23.
10 years ago
Vijimambo07 Nov
Nooij amrejesha Mtiro Taifa Stars
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nooij-November6-2014.jpg)
Beki wa zamani wa Yanga na African Lyon, Aboubakar Mtiro, ambaye sasa anaichezea Kagera Sugar, ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa (Taifa Stars) ambacho kitaingia kambini Jumatatu Novemba 10 kwa ajili ya kuelekea Swaziland kuwakabili wenyeji hao kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa.
Mtiro (29), ameitwa na Kocha Mkuu wa Stars, Mholanzi Mart Nooij ikiwa ni miaka nane imepita tangu aiitwe kuichezea Stars wakati huo ikinolewa na Mbrazil Marcio Maximo.
Kwa mara ya mwisho...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Mart Nooij alia na wachezaji Stars
WAKATI kikosi cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Satrs kikirejea nchini jana kutoka Msumbiji, Kocha Mkuu Mart Nooij, amesema moja ya sababu kuu za kikosi chake kupoteza mechi dhidi...
11 years ago
Mwananchi17 May
Nooij apiga chini ‘Stars Maboresho’
Kocha wa Taifa Stars, Martinus Nooij amewatema wachezaji wote wa mpango maalumu wa kuiboresha timu hiyo kwenye kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 22 alichokitangaza jana kwa ajili ya mechi dhidi ya Zimbabwe ya kusaka tiketi za kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika 2015 itakayochezwa kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania