Covenant Bank yawaita TFF, yajitolea Kuwadhamini Twiga Stars.
![](http://2.bp.blogspot.com/-TdubebmHC9M/VT-jSBORwwI/AAAAAAAHT3c/KDRCLlrJTdg/s72-c/001%2B-%2BSports.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja (Katikati) akizungumza na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya Michezo kwa klabu ya Mpira ya Lucenti, itakayoshiriki michuano ya kanda ya Nyanda za juu kusini, itakayofanyika Sumbawanga Mkoani Rukwa. Kushoto ni Meneja Fedha wa Benki hiyo Patrick Kyamba na Mwenyekiti wa Klabu ya Lucent, Yusuph Liambe.
Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja, (Katikati) Mwenyekiti wa Klabu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Aug
Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar
WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N2ac_PQW-gc/UxXCSkOeUrI/AAAAAAAFRCA/d893qUTNT9s/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TFF KUWACHUKULIA HATUA ZAIDI WAWILI TWIGA STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2ac_PQW-gc/UxXCSkOeUrI/AAAAAAAFRCA/d893qUTNT9s/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Kocha Kaijage aliwatimua kambini wachezaji Mwapewa Mtumwa na Flora Kayanda kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu wakati Twiga Stars ikijiandaa kwa mechi ya marudiano ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia.
Twiga Stars ilipoteza mechi ya kwanza ugenini mabao 2-1 na kutoka sare ya...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Ubabaishaji huu TOC, TFF unaiathiri Twiga Stars
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AGzwYS_RLwc/VNEE5Yn9WrI/AAAAAAAHBVY/hIo8ueA-EuU/s72-c/003%2B-%2BBima.jpg)
Covenant Bank, AAR wazindua Bima ya Matibabu ya Tsh. 1000 kwa siku
![](http://1.bp.blogspot.com/-AGzwYS_RLwc/VNEE5Yn9WrI/AAAAAAAHBVY/hIo8ueA-EuU/s1600/003%2B-%2BBima.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XW3JW48yx3A/VYrgFZFbkSI/AAAAAAAHjlc/sEKEc1u86BA/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Covenant Bank yaokoa la Jahazi CHANETA, Yatoa tikezi 20 za Ndege na Milioni 40 kufanikisha Safari ya Botswana
![](http://1.bp.blogspot.com/-XW3JW48yx3A/VYrgFZFbkSI/AAAAAAAHjlc/sEKEc1u86BA/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
11 years ago
TheCitizen14 Feb
Twiga Stars out to down Zambians
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Twiga Stars kibaruani
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Twiga Stars yatolewa
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Twiga Stars kuivaa Zambia