Covenant Bank, AAR wazindua Bima ya Matibabu ya Tsh. 1000 kwa siku
![](http://1.bp.blogspot.com/-AGzwYS_RLwc/VNEE5Yn9WrI/AAAAAAAHBVY/hIo8ueA-EuU/s72-c/003%2B-%2BBima.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank, Balozi Salome Sijaona (Katikati) akikabidhi kadi ya Bima ya Matibabu kwa Zaituni Zoro, ambae ni miongoni mwa wateja wa kwanza wa Huduma mpya ya Bima ya Matibabu ambayo zinawawezesha wateja wa Benki hiyo kupata Bima ya Matibahu kwa Shilingi 1000 kwa siku na kuweza kutibiwa hospitali Binafsi na za serikali pamoja na kununua dawa. Wanaoshuhudia (Kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja na Meneja Uendeshaji wa AAR....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DX7QtKhYh3k/VORGkia7mhI/AAAAAAAHETY/XLEjZ_I8emU/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
WAKAZI KIGAMBONI WACHANGAMKIA BIMA YA MATIBABU YA SH. 1000/= KWA SIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-DX7QtKhYh3k/VORGkia7mhI/AAAAAAAHETY/XLEjZ_I8emU/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7nVbk_k5VKg/VORGlnGWx_I/AAAAAAAHETk/Y1-898Qycx0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
VijimamboCONVENANT BANK NA AAR KUANZISHA AKAUNTI YA BIMA YA AFYA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TdubebmHC9M/VT-jSBORwwI/AAAAAAAHT3c/KDRCLlrJTdg/s72-c/001%2B-%2BSports.jpg)
Covenant Bank yawaita TFF, yajitolea Kuwadhamini Twiga Stars.
![](http://2.bp.blogspot.com/-TdubebmHC9M/VT-jSBORwwI/AAAAAAAHT3c/KDRCLlrJTdg/s1600/001%2B-%2BSports.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4fXzEMkrlaI/VT-jjz_nbgI/AAAAAAAHT3s/ghDquZUxR0M/s1600/002%2B-%2Bsports.jpg)
10 years ago
MichuziBANK OF AFRICA-TAZANIA, YAZINDUA UCHANGIAJI MATIBABU KWA WATOTO WALIOPINDA MIGUU
BANK OF AFRICA-TANZANIA, leo imezindua rasmi kampeni ya uchangiaji wa dola 100,000 ili kuisaidia Hospitali ya CCBRT katika mpango wake wa kufanikisha matibabu ya watoto 400 wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kupinda miguu.
Msaada huu kwa Hospitali ya CCBRT utawezesha watoto kutoka katika mikoa mbalimbali ya Tanzania kupata matibabu bure au kwa gharama nafuu ili kuwawezesha kutembea sawa sawa.
Ugonjwa wa kupinda miguu unaweza kuathiri mguu mmoja au yote miwili. Miguu iliyopinda...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XW3JW48yx3A/VYrgFZFbkSI/AAAAAAAHjlc/sEKEc1u86BA/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Covenant Bank yaokoa la Jahazi CHANETA, Yatoa tikezi 20 za Ndege na Milioni 40 kufanikisha Safari ya Botswana
![](http://1.bp.blogspot.com/-XW3JW48yx3A/VYrgFZFbkSI/AAAAAAAHjlc/sEKEc1u86BA/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s72-c/saini.jpg)
PSPF,NHIF WAZINDUA MPANGO WA MATIBABU KWA WANACHAMA WA MFUKO HUO WALIO KWENYE MPANGO WA PSS
![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s640/saini.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
PSPF, NHIF wazindua mpango wa matibabu kwa wanachama wa mfuko huo walio kwenye mpango wa PSS
![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s640/saini.jpg)
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meenja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia walosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NvrXwR0-KmU/XrFYvmTrqGI/AAAAAAALpNc/8riy89xu58A0JXfWxWPbOKS8bVdBmXAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/1567a6b1-59ad-4277-a474-44117aa34c8e.jpg)
VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000
Na WAMJW – Dar es Salaam
05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA BIMA YA AFYA YA RESOLUTION YAANDA SIKU MAALUM YA FAMILIA KWA WATEJA WAKE
Hii ni mara ya kwanza kampuni hiyo imeaanda siku hii maalum kwa ajili ya wateja wake na kulikuwa na burudani ya kutosha kutoka bendi ya Borabora, DJ maalum na vichekesho kutoka MC Pilipili. Kulikuwa pia na michezo mbalimbali ya watu wazima na watoto kama vile: soka, dance limbo na tug of war. Wateja waalikwa walipata chakula kwani kulikuwa na...