Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Covenant Bank, AAR wazindua Bima ya Matibabu ya Tsh. 1000 kwa siku

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank, Balozi Salome Sijaona (Katikati) akikabidhi kadi ya Bima ya Matibabu kwa Zaituni Zoro, ambae ni miongoni mwa wateja wa kwanza wa Huduma mpya ya Bima ya Matibabu ambayo zinawawezesha wateja wa Benki hiyo kupata Bima ya Matibahu kwa Shilingi 1000 kwa siku na kuweza kutibiwa hospitali Binafsi na za serikali pamoja na kununua dawa. Wanaoshuhudia (Kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja na Meneja Uendeshaji wa AAR....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAKAZI KIGAMBONI WACHANGAMKIA BIMA YA MATIBABU YA SH. 1000/= KWA SIKU

Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja akimfungulia akaunti ya Bima ya Matibabu, Bi. Saada Ramadhani Mkazi wa Yale Yale Puna – Kigamboni, Dar es Salaam, Katika hafla ya kuwahamasisha wakazi hao kujiunga na Bima ya Matibabu inayotolewa kwa Shilingi 1000 kwa siku kwa ushirikiano na AAR, Inayowezesha familia nzima kupata matibabu katika hospitali zote na kununua madawa katika maduka yaliyopendekezwa. Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja, Akimsomea...

 

10 years ago

Vijimambo

CONVENANT BANK NA AAR KUANZISHA AKAUNTI YA BIMA YA AFYA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI

Benki ya wanawake ijulikanayo kama Convenant Bank pamoja na Kampuni ya bima ya AAR washirikiana katika kuanzisha akaunti ya bima ya matibabu kwa wajasiriamali walioko nchini Mkutano kati ya Convenant Bank, AAR Insurance na wajasiriamali ulifanyika mwishoni mwa wiki ilopita,uliohusika na kuwaelewesha wajasiriamali kuhusu akaunti hiyo na umuhimu wa bima ya afya kwenye maisha yao ya kila siku.Akiongea na wajasiriamali Mkurugenzi wa Convenant Bank Bibi Sabeth Mwambenja alisema,“Akaunti hii ya...

 

10 years ago

Michuzi

Covenant Bank yawaita TFF, yajitolea Kuwadhamini Twiga Stars.

  Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja (Katikati) akizungumza na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya Michezo kwa klabu ya Mpira ya Lucenti, itakayoshiriki michuano ya kanda ya Nyanda za juu kusini, itakayofanyika Sumbawanga Mkoani Rukwa. Kushoto ni Meneja Fedha wa Benki hiyo Patrick Kyamba na Mwenyekiti wa Klabu ya Lucent, Yusuph Liambe.  Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja, (Katikati) Mwenyekiti wa Klabu ya...

 

10 years ago

Michuzi

BANK OF AFRICA-TAZANIA, YAZINDUA UCHANGIAJI MATIBABU KWA WATOTO WALIOPINDA MIGUU

NA FRANCIS DANDE
BANK OF AFRICA-TANZANIA, leo imezindua rasmi kampeni ya uchangiaji wa dola 100,000 ili kuisaidia Hospitali ya CCBRT katika mpango wake wa kufanikisha matibabu ya watoto 400 wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kupinda miguu.
Msaada huu kwa Hospitali ya CCBRT utawezesha watoto kutoka katika mikoa mbalimbali ya Tanzania kupata matibabu bure au kwa gharama nafuu ili kuwawezesha kutembea sawa sawa.
Ugonjwa wa kupinda miguu unaweza kuathiri mguu mmoja  au yote miwili. Miguu iliyopinda...

 

10 years ago

Michuzi

Covenant Bank yaokoa la Jahazi CHANETA, Yatoa tikezi 20 za Ndege na Milioni 40 kufanikisha Safari ya Botswana

 Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja, akiwaonesha waandishi wa habari (hawako pichani) moja kati ya tiketi 20 zilizotolewa na Benki hiyo kwa Chama cha Mchezo wa Pete Tanzania (CHANETA) ili kufanikisha safari ya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Queens) kwenda nchini Botswana kwa ajili ya kushiriki michuano ya mabingwa wa Afrika benki hiyo imetoa zaidi ya milioni arobaini ili kufanikisha safari hiyo, Pamoja nae katika picha ni Mwenyekiti wa CHANETA, Anna Kibira, na nahodha...

 

9 years ago

Michuzi

PSPF,NHIF WAZINDUA MPANGO WA MATIBABU KWA WANACHAMA WA MFUKO HUO WALIO KWENYE MPANGO WA PSS

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meneja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia waliosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...

 

9 years ago

Dewji Blog

PSPF, NHIF wazindua mpango wa matibabu kwa wanachama wa mfuko huo walio kwenye mpango wa PSS

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meenja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia walosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...

 

5 years ago

Michuzi

VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000


Na WAMJW – Dar es Salaam

05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba  kwa kila vizazi hai  1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.

Hayo yamesemwa leo  jijini  jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya  kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIMA YA AFYA YA RESOLUTION YAANDA SIKU MAALUM YA FAMILIA KWA WATEJA WAKE

Kampuni ya Bima ya Resolution leo hii imeaanda siku maalum ya familia kwa ajili ya wateja wake katika viwanya vya Posta jijini Dar es Salaam.
Hii ni mara ya kwanza kampuni hiyo imeaanda siku hii maalum kwa ajili ya wateja wake na kulikuwa na burudani ya kutosha kutoka bendi ya Borabora, DJ maalum na vichekesho kutoka MC Pilipili. Kulikuwa pia na michezo mbalimbali ya watu wazima na watoto kama vile: soka, dance limbo na tug of war. Wateja waalikwa walipata chakula kwani kulikuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani