Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Awamu ya tatu TASAF, Serikali kuwachukulia hatua wenye ubinafsi.

Na Richard Katunka,

Kigoma.

Serikali inakusudia kuchukua hatua kali dhidi ya watu wanaotajwa kuvuruga mpango wa TASAF awamu ya Tatu kwa maslahi yao binafsi.

 

Katika mafunzo maalumu kwa viongozi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma juu ya utekelezaji wa malengo ya TASAF awamu ya tatu, Mkuu wa Wilaya hiyo Danny Makanga amesema zipo taarifa za baadhi ya wanasiasa wakishirikiana na watendaji wasio waaminifu kutaka kuvuruga zoezi hilo kwa maslahi yao binafsi.

 

Ikiwa ni mwaka mmoja tangu...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Awamu ya tatu TASAF, Madiwani Karagwe waonywa.

Na Mariam Emily,

Karagwe.

 

Madiwani mkoani Kagera wametakiwa kutotumia vibaya nafasi zao za uongozi katika mpango wa TASAF awamu ya tatu unaolenga kunusuru kaya Masikini kwa kuingiza kaya zisizostahili.

 

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa uratibu wa TASAF Alphonce Kyariga wakati wa warsha ya kujenga uelewa wilayani Karagwe mkoani Kagera.

 

Mkurugenzi wa uratibu wa TASAF Alphonce Kyariga aliwataka Madiwani kuwa mstari wa mbele katika kuhimiza jamii zao kupokea mpango huo kwa mikono...

 

10 years ago

StarTV

Serikali kuwachukulia hatua wanaohatarisha amani.

Na Lilian Mtono,

Dar Es Salaam.

 

Serikali ya Tanzania imesema haitavumilia kuona matukio yanayofanyika kinyume cha sheria na taratibu za nchi yanayolenga kuhatarisha amani bila kuchukua hatua dhidi ya wahusika kwa madai kuwa zinakiuka haki za binadamu.

 

Imesema kumekuwepo na ongezeko la matukio ya kisiasa yanayofanyika kinyume cha taratibu zinazotakiwa hivyo kuisukuma Serikali kuchukua hatua ambazo baadae hudaiwa kuwa zimevunja haki za binadamu.

 

Hayo yamebainishwa kwenye viwanja vya...

 

10 years ago

StarTV

Upotevu wa dawa, Serikali kuwachukulia hatua wanaosababisha.

Na Abdallah Tilata,

Mwanza.

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Kebwe Steven Kebwe amesema serikali itawachukulia hatua viongozi wa mikoa na wilaya zote nchini watakaoshindwa kudhibiti mianya ya upotevu wa dawa zinazosambazwa katika maeneo yao.

 

Takwimu zinaonyesha asilimia 40 ya dawa zinazopelekwa katika hospitali mbalimbali nchini zinafikia kwenye mikono isiyo salama hali inayoendelea kuigharimu serikali kuagiza dawa nje ya nchi.

 

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkemia Mkuu wa Serikali kuwachukulia hatua wadau wasiosajiliwa

Profesa Manyele_0

Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele. (Picha na Maktaba).

Na Beatrice Lyimo, Maelezo

Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuwaelimisha wadau wa uuzaji na usafirishaji kuhusiana na usimamizi wa kemikali hatari na...

 

9 years ago

StarTV

Serikali za Vijiji kuwachukulia hatua wazazi, walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo

Serikali za Vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuhakikisha kuwa zinawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo hadi kuhitimu baada ya kuandikishwa kuanza elimu ya msingi pamoja na waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.

Mkuu wa mkoa huo Dokta Parseko Kone ametoa agizo hilo baada ya kubainika kuwa katika Wilaya ya Mkalama pekee, jumla ya wanafunzi 383 wa shule za Msingi na Sekondari wameacha masomo yao kwa kipindi cha kuanzia Januari...

 

11 years ago

Michuzi

UFUNGUZI WA WARSHA YA KUJENGA UELEWA WA WADAU KUHUSU MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI — TASAF AWAMU YA TATU MKOANI KATAVI

 Meneja Uratibu kutoka TASAF Makao Makuu Tunu Munthali (aliyesimama) akiwasilisha kwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe (wa kwanza kulia) salaam za Mkurugenzi mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga. 
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajabu Rutengwe akihutubia washiriki wa Warsha ya kujenga uelewa wa wadau kuhusu mpango wa kunusuru Kaya maskini – TASAF awamu ya tatu Mkoani Katavi . Hawa nao ni sehemu ya washiriki wa warsha hiyo inayoshirikisha watendaji mbalimbali wa ngazi ya...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI KUZINDUA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YA TATU YA TASAF




Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akisisitiza jambo kwa Waandishi wa Habari leo alipokuwa akizungumza nao kuhusu uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) utakaofanyika siku ya Jumatatu tarehe 17Februari, 2020 kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

TASAF KUANZA UTEKELEZAJI WA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YAKE YA TATU NCHINI KOTE.


Mfuko wa Maendeleo ya Jamii- TASAF umekamilisha mipango itakayowezesha kuanza kwa utekelezaji wa Kipindi cha Pili cha Awamu yake ya TATU kufuatia uzinduzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga amekutana na Wandishi wa Habari jijini Dar es salaam na kuwajulisha kuwa mipango ya kuanza utekelezaji wa kipindi cha pili ambayo imezingatia maelekezo ya Serikali inaelekea kukamilika.

Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani