Twiga Stars yatupwa kwa Zimbabwe
 Timu ya Taifa ya wanawake Tanzania 'Twiga Stars itaanza harakati zake za kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika 2016, Cameroon kwa kucheza dhidi ya Zimbabwe mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo05 Nov
Twiga Stars, yapangiwa Zimbabwe
TIMU ya soka ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itaanza kampeni ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani huko Cameroon kwa kuchuana na Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya mchujo.
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Twiga Stars yafuzu kwa kipigo
11 years ago
Michuzi14 Feb
TWIGA STARS YALALA 2-1 KWA ZAMBIA LEO JIJINI LUSAKA
Hadi dakika 45 za kwanza zinamalizika katika mechi hiyo iliyochezeshwa na mwamuzi Salma Mukansanga timu hizo zilikuwa suluhu.
Wenyeji ndiyo walianza kupata bao lililofungwa na Hellen Mubanga dakika ya 75. Mfungaji huyo aliyeingia kipindi cha pili nchini alimalizia wavuni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W0JtjbOpN0dNayei0S-0dHrN-dIkuc0YHvMOAauvCxJu8cKckaQWqNNIGgIT0sRkCmiLa9PEbi*lKeaXcS5UiDM/stars.jpg)
stars yatupwa nje Afcon 2015
11 years ago
TheCitizen14 Feb
Twiga Stars out to down Zambians
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Twiga Stars kibaruani
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Twiga Stars yatolewa
9 years ago
Habarileo03 Sep
Twiga Stars yaenda Congo
HATIMAYE timu ya soka ya taifa ya wanawake ya Twiga Stars, inatarajia kuondoka leo jioni kwa ndege maalum kwenda Congo Brazzaville kwenye Michezo ya Afrika ( All African Games).
9 years ago
Habarileo02 Sep
Twiga Stars giza nene
TIMU ya taifa soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars jana ilishindwa kwenda Congo Brazzaville, kushiriki Michezo ya Mataifa ya Afrika kwa sababu ya ukata, imeelezwa.