Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kili Stars go down fighting

Tanzania Mainland’s fairy-tale run at the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup came to an end yesterday after losing to host Ethiopia on 4-3 post match penalties.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kili Challenge: Fighting HIV and AIDS in Tanzania

 Attendees from various public and private sector in support of GGM Kili Challenge Auction in Geita for the fundraising against HIV and AIDS in Tanzania. The ambassador of GGM Kili Challenge Lady Jay Dee was also present during the GGM Kili Challenge Auction in Geita for the fundraising against HIV and AIDS in Tanzania.GGM employees showing support at GGM Kili Challenge Auction in Geita for the fundraising against HIV and AIDS in Tanzania.

 

11 years ago

GPL

KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0

Kikosi cha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' bao1-0 katika mechi iliyomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Nyayo uliopo jijini Nairobi!

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER : Jinxed Stars bow out fighting

Taifa Stars, bowed out of the Championship of African Nations (CHAN) after a spirited fight against hosts Uganda Cranes at the Nakivubo Stadium yesterday.

 

9 years ago

Mwananchi

Kili Stars hakuna kulala

Waswahili wanasema ‘Kupanda ngoma kushuka mchongoma’ na hicho ndicho kinachotarajiwa kutokea katika robo fainali za mashindano ya Kombe la Chalenji 2015 zinazotarajiwa kuanza leo kwenye Uwanja wa Addis Ababa, Ethiopia.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni kocha Kili Stars

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars fungu la kukosa

TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imetolewa kwenye michuano ya Chalenji kwa penalti 4-3 dhidi ya wenyeji Ethiopia katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa Addis Ababa nchini Ethiopia. Timu hizo zilifikia hatua ya kupiga penalti baada ya kucheza dakika 90 na kutoka sare ya bao 1-1.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni atangaza Kili Stars

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maskini, Kili Stars si riziki

KAMA kawaida, wahenga walinena kuwa sikio la kufa halisikii dawa, hivyo ndivyo unavyoweza kuifananisha timu ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ baada ya jana kuondoka katika michuano ya Kombe la Chalenji...

 

9 years ago

TheCitizen

Kili Stars open against Somalia

The Mainland soccer side, Kilimanjaro Stars, has been handed a relatively easy start to the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup, which will kick off on November 21.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani