Kili Stars fungu la kukosa
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imetolewa kwenye michuano ya Chalenji kwa penalti 4-3 dhidi ya wenyeji Ethiopia katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa Addis Ababa nchini Ethiopia. Timu hizo zilifikia hatua ya kupiga penalti baada ya kucheza dakika 90 na kutoka sare ya bao 1-1.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Sep
Twiga Stars fungu la kukosa
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars imetupwa nje ya Michezo ya Afrika baada ya kupoteza mechi mbili kati ya tatu za raundi ya kwanza. Twiga Stars ilianza michezo hiyo kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Ivory Coast mwishoni mwa wiki iliyopita kabla ya juzi kuchapwa mabao 3-0 na Nigeria.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbLLGO3dMemxhzCxjZITc88re1H1*3Zi1tqEKgZAICAsKI6OaSRZtLhUbz18rENtlbkeDZgTF6EcOl5iBAFelJ4/kilistars.jpg)
KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
NAFURAHI KUKOSA TUZO ZA KILI - SHEDDY CLEVER
10 years ago
VijimamboPamoja na kukosa tunzo ya Kili ki mizengwe Christian Bela apagawisha Tabora!
9 years ago
TheCitizen01 Dec
Kili Stars go down fighting
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Kili Stars hakuna kulala
9 years ago
TheCitizen26 Nov
JK galvanises rampaging Kili Stars
9 years ago
Habarileo28 Nov
Kili Stars, Ethiopia leo
TIMU ya Kilimanjaro Stars leo inashuka dimbani kucheza na wenyeji Ethiopia katika mchezo utakaofanyika Awassa. Tayari timu hiyo imefuzu kucheza robo fainali, lakini ushindi kwao ni muhimu ili kumaliza hatua ya makundi bila ya kufungwa mchezo hata mmoja.
9 years ago
Habarileo10 Nov
Kibadeni kocha Kili Stars
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.