Pamoja na kukosa tunzo ya Kili ki mizengwe Christian Bela apagawisha Tabora!
Masaa machache baada ya kukosa kitatanishi tunzo ya wimbo bora wa mwaka katika Kili Music Awards Christian Bela (King of melodies) alipagawisha wapenzi wa muziki mjini Tabora alipoporomosha bonge la show akiwa na kundi zima la Malaika Band. Christian Bela alitarajiwa na wadau wa muziki nchini kuwa angebeba tunzo hiyo bila ushindani mkubwa kutokana na wimbo wake wa Nani kama mama ambao aliomshirikisha Ommy Dimpoz kutamba sana katika vituo vyote vya redio na Runinga hapa nchini, lakini kama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziChristian Bela apagawisha Tabora
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/80HUFF25OCCJuA6JvSN6ZaQTxcPitnqtFjypZQaArAhp9GGQfMTMlMhk6sbnmImmV0Ar5rGH-poCtjbo2Du6MouFeBefp19z/Bella.jpg?width=650)
AUAWA KWA GONGO KISA WIMBO WA CHRISTIAN BELA
9 years ago
Habarileo01 Dec
Kili Stars fungu la kukosa
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imetolewa kwenye michuano ya Chalenji kwa penalti 4-3 dhidi ya wenyeji Ethiopia katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa Addis Ababa nchini Ethiopia. Timu hizo zilifikia hatua ya kupiga penalti baada ya kucheza dakika 90 na kutoka sare ya bao 1-1.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
NAFURAHI KUKOSA TUZO ZA KILI - SHEDDY CLEVER
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Christian Bella: Kukosa tuzo kutanifanya nitoe muziki mzuri zaidi
NA RHOBI CHACHA
MWANAMUZIKI wa Bolingo, Christian Bella, ameweka wazi kwamba kukosa kwake tuzo hata moja kutampa nguvu ya kuandaa kazi nzuri zaidi ya alizozitoa kwa mwaka jana.
Bella aliongeza kwamba, anajiamini muziki anaofanya unapendwa na wengi, kukosa tuzo hakutamrudisha nyuma bali kutamfanya aongeze nguvu zaidi ya kufanya muziki mzuri.
“Unajua mimi siku zote najijua kama nafanya kazi nzuri na mashabiki wananikubali, ila kukosa tuzo hakunivunji moyo, yaani ni sawa na kunizidishia akili...
11 years ago
Michuzi16 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-psPE-Rk-jUQ/U5JwQ_4XcNI/AAAAAAAFoPk/VsDXxFC5rzU/s72-c/m1.jpg)
christian bella na bendi yake ya malaika wateka mji wa tabora
![](http://2.bp.blogspot.com/-psPE-Rk-jUQ/U5JwQ_4XcNI/AAAAAAAFoPk/VsDXxFC5rzU/s1600/m1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O1dapRaOkIM/U5JwRYknVXI/AAAAAAAFoP0/fTK5Cj3mu9A/s1600/m2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rZKUavOcAus/U5JwQT2ehfI/AAAAAAAFoPg/Jebdd5ruidM/s1600/m3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mtY8E-YK8zk/U5JwSe_CXMI/AAAAAAAFoPw/1gGPsArAdH8/s1600/m4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R-m9Jsl7Tlk/U5JwTVf-UyI/AAAAAAAFoQA/k50lE56Ny4U/s1600/m5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WANANCHI WA NZEGA TABORA PAMOJA NA WANANCHI WA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtoto aliyejulikana kwa jina moja la Rahma mara baada ya kuwasalimia Wananchi katika eneo la Mataa mkoani Singida.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4BsQmB6UDrE/XsU4uixeJmI/AAAAAAALq_s/qrT9yi_YgMkFjMXpPeZdxa0H10Q-eidowCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AMdnGau1HU0/XsU4rm1A_0I/AAAAAAALq_k/8eX19cqr3U4OyMLvUMioNBEepXKh9oI7ACLcBGAsYHQ/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-wED3MK7x6-gVFb3OQAz6yQxfveW1CnEU5mqdU6D5c3wxSouP5dbVjCuz5sUprNPTa4aWyLgAZGHNkeosKMGCqG/isabela.jpg)
BELA, KALAMA NDOA YANUKIA