Maskini, Kili Stars si riziki
KAMA kawaida, wahenga walinena kuwa sikio la kufa halisikii dawa, hivyo ndivyo unavyoweza kuifananisha timu ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ baada ya jana kuondoka katika michuano ya Kombe la Chalenji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbLLGO3dMemxhzCxjZITc88re1H1*3Zi1tqEKgZAICAsKI6OaSRZtLhUbz18rENtlbkeDZgTF6EcOl5iBAFelJ4/kilistars.jpg)
KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0
9 years ago
TheCitizen01 Dec
Kili Stars go down fighting
9 years ago
Habarileo10 Nov
Kibadeni kocha Kili Stars
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.
9 years ago
Habarileo23 Nov
Kili Stars moto mkali
TIMU ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars, jana ilianza vizuri michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuitandika Somalia kwa mabao 4-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Addis Ababa, Ethiopia.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Kili Stars hakuna kulala
9 years ago
Habarileo01 Dec
Kili Stars fungu la kukosa
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imetolewa kwenye michuano ya Chalenji kwa penalti 4-3 dhidi ya wenyeji Ethiopia katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa Addis Ababa nchini Ethiopia. Timu hizo zilifikia hatua ya kupiga penalti baada ya kucheza dakika 90 na kutoka sare ya bao 1-1.
9 years ago
Habarileo17 Nov
Kibadeni atangaza Kili Stars
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.
9 years ago
TheCitizen12 Nov
Kili Stars open against Somalia
9 years ago
TheCitizen26 Nov
JK galvanises rampaging Kili Stars