Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari bandia kusalia kizuizini

Daktari bandia anayetuhumiwa kuwapa kina mama dawa ya kupoteza ufahamu na hatimaye kuwabaka katika kliniki yake afikishwa mahakamani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Daktari 'bandia' ashtakiwa Kenya

Raia mmoja wa Kenya ameshtakiwa na makosa 12 ikiwemo ubakaji,kujifanya kuwa mkunga mbali na kufungua kliniki bila leseni jijini Nairobi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Daktari bandia aliwaambukiza ukimwi watu 100

Mwanaume mmoja aliyejidai kuwa daktari na kuwaambukiza watu zaidi ya mia moja virusi amefikishwa mahakamani nchini Cambodia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Profesa Lipumba awekwa kizuizini

Polisi Tanzania linamshikilia mwenyekiti wa chama cha siasa cha CUF Profesa Ibrahim Lipumba na wakiwemo wafuasi wake 32.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndolanga: Nilisota kizuizini siku 260

Nikamwambia; mwambie Mwalimu mimi Ndolanga, nimewekwa ndani sina kosa, mwenye kosa ni baba yangu mzazi aliyenipeleka shule, akasema sawa.

 

5 years ago

Michuzi

KIZITO MIHIGO AFARIKI AKIWA KIZUIZINI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

BAADA ya siku tatu tangu Mamlaka ya upelelezi nchini Rwanda kutangaza kumshikilia mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini humo Kizito Mihigo kwa tuhuma za kujaribu kuvuka mpaka na kwenda kujiunga na vikosi vinavyopinga Serikali ya Rwanda pamoja na kushutumiwa kwa vitendo vya rushwa leo Februari 17 jeshi la polisi nchini humo limetangaza kuwa maiti ya Kizito imepatikana ndani ya chumba alichokua amezuiwa  katika kituo cha polisi cha Remera mjini Kigali.

Polisi...

 

9 years ago

Habarileo

Zaidi ya watoto 1,000 nchini wawekwa kizuizini

IDARA ya Ustawi wa Jamii iliyo chini ya Wizara ya Afya imesema kwamba taarifa ya ufuatiliaji wa mashauri ya watoto nchini ya mwaka 2014 ambayo iliandaliwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) ilibainisha kuwepo kwa wastani wa watoto 1,000 waliowekwa megerezani.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini

MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rodgers kusalia Anfield

Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers atia sahihi kandarasi ya muda zaidi Anfield.

 

10 years ago

Vijimambo

MTANZANIA RASHID CHARLES MBERESERO AMEWEKWA KIZUIZINI KWA KIPINDI CHA MWEZI MMOJA


RASHID MBERESERO TEMBA
Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.

Mtuhumiwa huyo ambaye pia anafahamika kwa jina la Rehani Dida alirejeshwa Nairobi kutoka Garissa alikopelekwa awali kwa ajili ya kuhojiwa baada ya kukiri kujihusisha na kundi la Al- Shabaab.
Mahakama jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani