Daktari bandia kusalia kizuizini
Daktari bandia anayetuhumiwa kuwapa kina mama dawa ya kupoteza ufahamu na hatimaye kuwabaka katika kliniki yake afikishwa mahakamani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Daktari 'bandia' ashtakiwa Kenya
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Daktari bandia aliwaambukiza ukimwi watu 100
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Profesa Lipumba awekwa kizuizini
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Ndolanga: Nilisota kizuizini siku 260
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JTy4q9-M8RQ/Xkr0wHnaiWI/AAAAAAALdz8/_N57JWfb4V8KUJbqPsLUFoE91jaN9eEUACLcBGAsYHQ/s72-c/aa3f274a-e8c6-4711-8b67-26ef27dd1469.jpg)
KIZITO MIHIGO AFARIKI AKIWA KIZUIZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JTy4q9-M8RQ/Xkr0wHnaiWI/AAAAAAALdz8/_N57JWfb4V8KUJbqPsLUFoE91jaN9eEUACLcBGAsYHQ/s400/aa3f274a-e8c6-4711-8b67-26ef27dd1469.jpg)
BAADA ya siku tatu tangu Mamlaka ya upelelezi nchini Rwanda kutangaza kumshikilia mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini humo Kizito Mihigo kwa tuhuma za kujaribu kuvuka mpaka na kwenda kujiunga na vikosi vinavyopinga Serikali ya Rwanda pamoja na kushutumiwa kwa vitendo vya rushwa leo Februari 17 jeshi la polisi nchini humo limetangaza kuwa maiti ya Kizito imepatikana ndani ya chumba alichokua amezuiwa katika kituo cha polisi cha Remera mjini Kigali.
Polisi...
9 years ago
Habarileo06 Oct
Zaidi ya watoto 1,000 nchini wawekwa kizuizini
IDARA ya Ustawi wa Jamii iliyo chini ya Wizara ya Afya imesema kwamba taarifa ya ufuatiliaji wa mashauri ya watoto nchini ya mwaka 2014 ambayo iliandaliwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) ilibainisha kuwepo kwa wastani wa watoto 1,000 waliowekwa megerezani.
10 years ago
Habarileo01 Nov
Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini
MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.
11 years ago
BBCSwahili27 May
Rodgers kusalia Anfield
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Sl4SdOvdvjo/VSd2Y7oOyDI/AAAAAAAAF84/U2oAQP2Emfk/s72-c/rashid.jpg)
MTANZANIA RASHID CHARLES MBERESERO AMEWEKWA KIZUIZINI KWA KIPINDI CHA MWEZI MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sl4SdOvdvjo/VSd2Y7oOyDI/AAAAAAAAF84/U2oAQP2Emfk/s1600/rashid.jpg)
RASHID MBERESERO TEMBA
Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.
Mtuhumiwa huyo ambaye pia anafahamika kwa jina la Rehani Dida alirejeshwa Nairobi kutoka Garissa alikopelekwa awali kwa ajili ya kuhojiwa baada ya kukiri kujihusisha na kundi la Al- Shabaab.
Mahakama jijini...